• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Rasilimali watu na Utawala

JUKUMU LA IDARA:

Jukumu la Msingi la Idara ya Utumishi na Utawala ni kusimamia matumizi bora yenye ufanisi ya Rasilimali watu katika kutoa huduma kwa kuhakikisha Rasilimali watu inatumiwa kutekeleza shughuli za Halmashauri kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu zilizopo.

Halmashauri ina jumla ya watumishi 1509 ambao wanatumikia katika kadi mbali mbali 

Kazi zinazofanywa na Idara.

Ili kutimiza jukumu la msingi lililotajwa hapo juu Idara inatekekeza shughuli zifuatazo:-


  1. Kuratibu masuala ya itifaki na mapokezi ya wageni;
  2. Kuratibu ikama ya watumishi na Mishahara;
  3. Kushughulikia stahili za watumishi na viongozi;
  4. Kusimamia Ajira na nidhamu za watumishi na maadili ya viongozi;
  5. Kufuatilia Masuala ya utawala Bora na Kuratibu Vikao vya Kisheria kwa Kamati za Kudumu za Halamashauri na Baraza la Madiwani
  6. Kuratibu upatikanaji wa mafunzo ya watumishi na viongozi;
  7. Kupokea, kusikiliza na kushughulikia kero na malalamiko ya ya wananchi kupitia dawati la Malalamiko na masanduku ya maoni.
  8. Kuhakikisha Sheria, Kanuni na taratibu za miongozo ya Kiutumishi inatekelezwa ipasavyo.
  9. Kuratibu matumizi ya magari na mitambo.

Watumishi katika idara

MKUU WA IDARA
NORBETHA NYONI                +255758742601

MAAFISA UTUMISHI
HAMZA MANDWANGA          +255753766700
LUCY NGODITA                     +255763077862
MAGRETH KILAWE               +255762716526
TULLY SANGA                       +255753373258


WAANDISHI WA VIKAO
DAMAS MAYANJA                   +255767825023
RAJAB KANGALAWE              +255625682923
ALBERT MINJA                        +255763712070


MAKATIBU MUKTASI
RIZIKI KULANGA                      
HAJIRA MAGESA                    
MARRY MKONGO 
                     

USIMAMIZI WA NYARAKA NA KUMBUKUMBU
MARIAM MTWEVE                  
ELISHA LUSATO                      
DAVID MBUNDA                      
EMMANUELA MAGIMBO          
LUCY MUNG'ULISA                  
IMELDA L.FUTE      
                 



Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA JANUARI-2021 December 19, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2018 July 13, 2018
  • Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji wa Makambako May 18, 2019
  • Fungua

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA vikundi

    December 30, 2020
  • Ukaguzi wa kikundi

    December 30, 2020
  • ukaguzi wa vikundi

    December 30, 2020
  • Ukaguzi wa vikundi

    December 30, 2020
  • Fungua

Video

Maelekezo kuelekea Uchaguzi Mkuu octoba Mwaka huu.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0767633415

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa