• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ujenzi na Uokoaji

IDARA YA UJENZI

MAJUKUMU YA IDARA YA UJENZI

Idara ya ujenzi ina majukumu yafuatayo:-

-Kusimamia miradi yote ya ujenzi wa majengo ya serikali kama shule na vyuo vya afya ndani ya halmashauri.

-Kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi wanaotaka kujenga nyumba za kuishi na nyumba za biashara.

-Kukagua ujenzi wa majengo ya serikali na binafsi kuhakikisha taratibu zote za ujenzi zinafuatwa na kuchukua hatua za kisheria endapo jingo/majengo hayana viwango vinavyotakiwa.

-Kushirikiana na idara ya manunuzi kufanya tathimini (evaluation) ya wazabuni na makandarasi ambao wameomba kufanya shughuli za ujenzi na usambazaji wa vifaa vya ujenzi katika miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya halmashauri.

MUUNDO WA IDARA YA UJENZI

1. MKUU WA IDARA

Mhandisi wa ujenzi  wa Halmashauri ( Town engeneer)

2.Msanifu Majengo ( Architect )

3. Mkadiriaji wa majengo ( Quantinty surveyor)

4. Katibu Muhutasi ( Personal secretary)

5. Msaidizi wa Ofisi ( Office Assistant)

MAFANIKIO YA IDARA

Idara ya ujenzi imefanikiwa mambo yafuatayo :-

  • Kutoa elimu ya mambo yanayohusu ujenzi kwa wananchi kuepuka majanga mbalimbali kama vile kubomoka kwa nyumba ambapo hali hii husababishwa na ujenzi holela usiofuata taratibu za ujenzi.
  • Kuelimisha wananchi juu ya umuhimu wa kutumia wataalamu wa ujenzi kupata ushauri namna ya kujenga nyumba zao na hasa ujenzi wa choo kwani tunashauri wananchi kutojenga matundu ya vyoo juu ya shimo badala yake wajenge pembeni ya shimo ili endapo kutatokea hitilafu yoyote watumiaji wasipate madhara yoyote kama vile shimo kutitia au kubomoka kutokana na majanga mbalimbali kama vile tetemeko la ardhi.
  • Idara ya ujenzi imefanikiwa kusimamia miradi mbalimbali ya ujenzi wa majengo ya serikali na majengo binafsi na kuhakikisha taratibu za ujenzi zimefuatwa vyema.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA JANUARI-2021 December 19, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2018 July 13, 2018
  • Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji wa Makambako May 18, 2019
  • Fungua

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA vikundi

    December 30, 2020
  • Ukaguzi wa kikundi

    December 30, 2020
  • ukaguzi wa vikundi

    December 30, 2020
  • Ukaguzi wa vikundi

    December 30, 2020
  • Fungua

Video

Maelekezo kuelekea Uchaguzi Mkuu octoba Mwaka huu.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0767633415

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa