• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Adhabu ya kusimamishwa shule inachangia uwepo wa ziro kwenye matokeo ya mitihani.

Tarehe iliyowekwa: September 12th, 2022

Na. Lina Sanga

Kauli hiyo imetolewa na  Wanafunzi wa Mkoa wa Njombe katika kikao cha uzinduzi wa  vitabu vitatu vya muongozo wa  elimu Mkoa wa Njombe, kilichofanyika leo shule ya Sekondari Mpechi.

Akizungumza kwa niaba ya wanafunzi wengine, Augenia Mwenda mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Mbeyela,amesema kuwa baadhi ya wanafunzi waliofanya makosa mbalimbali hupewa adhabu ya kusimamishwa shule na kuruhusiwa kufika shuleni kufanya mitihani ya kuhitimu masomo, hali inayochangia ongezeko la ziro kwenye matokeo ya mitihani.

Ametoa rai kwa Serikali na Mamlaka za elimu kubadilisha adhabu hiyo ya kumrudisha mwanafunzi nyumbani,bila kujihakikishia kama mwanafunzi huyo atasoma akiwa nyumbani zitolewe, adhabu mbadala kama kuchimba mashimo au kulima na mwanafunzi aendelee na masomo yake ili kuwasaidia wanafunzi kufaulu masomo yao vizuri.

Aidha,wanafunzi hao wamebainisha changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo katika mazingira ya shule ,kama ukosefu wa uzio kuzunguka   mabweni  ya watoto wa kike,ukosefu wa maji ya kutosha na uchakavu wa ofisi za walimu.

Pia,wamempongeza Mkuu wa Mkoa wa Njombe kwa kuahidi zawadi kwa walimu,wanafunzi na shule itayofaulisha vizuri ambapo zawadi hizo ni kuanzia laki Tano hadi milioni tano.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne 2025 watakiwa kuwa watulivu ili wapate madaraja mazuri.

    November 15, 2025
  • Njombe hali ni shwari fanyeni biashara

    November 07, 2025
  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa