• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

ASANTE MAMA SAMIA

Tarehe iliyowekwa: February 9th, 2022

Na. Lina Sanga

Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Makambako,Mhe. Hanana Mfikwa ametoa shukurani kwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za Utekelezaji wa Miradi mbalimbali katika Halamshauri ya Mji Makambako ikiwa ni pamoja na miradi ya elimu,Afya,Maji na Barabara.

Mhe. Hanana ametoa shukurani hizo leo,katika mkutano wa baraza la madiwani kwa kipindi cha kuishia robo ya pili (oktoba-desemba) 2021/2022, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji makambako,hivyo niwajibu wa kila diwani pamoja na timu ya wataalamu kuhakikisha fedha zinazoletwa kutumika vizuri na kukamilisha miradi kwa muda uliopangwa.

Mhe. Hanana amesema kuwa licha ya fedha za ujenzi wa Madarasa na Zahanati bado Serikali inaendelea kutoa fedha kwa ajili ya Ujenzi wa Miradi mbalimbali,ambapo Halmashauri ya Mji Makambako imepokea milioni 470 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari kitisi na milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya kitandililo.

“Halmashauri yetu tulipokea fedha za ujenzi wa vyumba vya madarasa na bweni moja la watoto wenye ulemavu kwa fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko 19,lakini bado fedha zingine zinaletwa kwa ajili ya miradi mbalimbali,ni wajibu wetu kumshukuru Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa fedha hizo na tunamuhakikishia kutumia vizuri fedha hizo, kusimamia miradi vizuri na kuhakikisha inakamilika kwa wakati”, alisema Mhe. Hanana.

Halmashauri ya Mji Makambako ilipokea jumla ya shilingi Bil. 1.2 ambapo milioni 840 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa na bweni moja la watoto wenye ulemavu kwa fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko 19 na milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya dharura ya huduma ya afya,

Aidha Mamlaka ya Maji Mji Makambako (MAKUWASA) imepokea jumla ya shilingi mil. 137 kwa ajili ya miradi ya maji na miradi hiyo imeanza kutekelezwa,pia kiasi cha shilingi mil. 437 zimetengewa bajeti kupitia fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko 19 kwa ajili ya Miradi ya Maji.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa