• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Baraza la Madiwani lamshukuru Rais Samia kwa fedha za miradi na Mbunge kwa kutekeleza shughuli za maendeleo

Tarehe iliyowekwa: January 30th, 2026

Na. Lina Sanga

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Makambako limemshukuru Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali pamoja na Waziri wa Kilimo na Mbunge wa jimbo la Makambako Mhe. Daniel Chongolo kwa hatua alizozifanya kwa maendeleo ya jimbo ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani.

Akitoa shukrani hizo leo Mwenyekiti wa baraza hilo,Mhe. Salum Mlumbe amesema kuwa suala la shida ya mtandao katika Mtaa wa Kiumba na Ikelu limedumu kwa muda mrefu lakini kwa sasa kupitia uongozi wa Mhe. Chongolo mafundi wapo wanajenga mnara wa simu katika maeneo hayo ili kutatua changamoto ya mawasiliano iliyolalamikiwa kwa muda mrefu.

“Ndani ya muda mfupi tumeshuhudia kazi kubwa zinafanywa na Mbunge wetu ikiwa ni pamoja na ujenzi wa minara ya simu Ikelu na Kiumba,lakini pia ameendelea kupeleka michango mbalimbali kwenye maeneo yetu  wiki iliyopita tulipeleka bati 100 kwenye shule Fulani pale na ameendeleo kufanya hivyo shule mbalimbali na sasa ametoa gari ya shughuli za maendeleo, wananchi wamjulishe kuhusu shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao gari ipo na atajaza mafuta mwenyewe”,alisema Mhe. Mlumbe.

Pia amesisitiza utekelezaji wa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya ya Njombe,Mhe. Juma Sweda aliyoyatoa wakati akitoa salamu za Serikali ikiwa pamoja na kuwasaka watoto ambao bado hawajaripoti shuleni,suala la uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti na utoaji wa huduma ya bima ya afya kwa wote.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Mapokezi ya ajira mpya januari 2026 January 25, 2026
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lamshukuru Rais Samia kwa fedha za miradi na Mbunge kwa kutekeleza shughuli za maendeleo

    January 30, 2026
  • Wananchi wa Makambako watakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti kupunguza athari za upepo mkali

    January 30, 2026
  • Fungeni mita za maji za luku kumaliza malalamiko ya wananchi kuzidishiwa bili

    January 27, 2026
  • Miradi ya maendeleo yazidi kuleta mageuzi Halmashauri ya Mji Makambako

    January 25, 2026
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa