• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

BOT wekeni ratiba ya semina kuwafikia watumishi wote.

Tarehe iliyowekwa: November 23rd, 2023


Na. Lina Sanga

Njombe

Rai hiyo imetolewa leo na Katibu Tawala Mkoa wa Njombe Bi. Judica Omari,wakati akifungua semina kwa watumishi wa Umma Mkoani Njombe juu ya uwekezaji kwenye dhamana za Serikali inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) tawi la Mbeya,katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe.

Amesema mafunzo hayo yamekuja kwa wakati muafaka na yana tija kwa ustawi wa uchumi wa watumishi wote  hivyo BOT hawana budi kuandaa ratiba mahsusi ya mafunzo hayo,ili kuwafikia watumishi wote wa Mkoa wa Njombe na Mikoa mingine.

Amewataka washiriki wa semina hiyo kusikiliza kwa umakini kutokana na umuhimu wa mafunzo hayo ,ambayo yatawawezesha kuwekeza kwenye dhamana za Serikali kwani  ni salama na kujipatia faida na  kuiwezesha Serikali kuongeza mapato.

Agathon Kipandula, Meneja fedha na utawala Benki Kuu ya Tanzania(BOT) tawi  la Mbeya amewataka watumishi wa Umma kufanya uwekezaji huo kwa tija na kutohofia uvumi unaotolewa, kwani katika dunia kuadimika kwa dola hutokea nchi zote duniani na sio Tanzania pekee.

Amesema kuwa,BOT inafanya kazi  kwa niaba ya Serikali kuuza dhamana za Serikali ,kwa njia ya minada ikiwa ni njia mojawapo ya kukopa fedha katika soko la ndani, kwa uwekezaji wa muda mrefu na mfupi kupitia mfumo wa masoko wa soko la  awali na soko la upili bila kuathiri mikopo kwa sekta binafsi.

“Katika soko la awali BOT huuza dhamana za Serikali kwa mnada kila wiki siku ya jumatano kwa njia ya ushindani na isiyo ya ushindani, ambapo kila mkazi wa jumuiya ya Afrika mashariki anastahili kushiriki na soko la upili uuzaji hufanyika na wawekezaji wenyewe”,alisema Agathon.

Washiriki wa Semina hiyo ni Wakuu wa Idara,Vitengo na Sehemu ngazi ya Mkoa na Halmashauri pamoja na taasisi za Serikali Mkoani Njombe.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa