• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

BOT wekeni ratiba ya semina kuwafikia watumishi wote.

Tarehe iliyowekwa: November 23rd, 2023


Na. Lina Sanga

Njombe

Rai hiyo imetolewa leo na Katibu Tawala Mkoa wa Njombe Bi. Judica Omari,wakati akifungua semina kwa watumishi wa Umma Mkoani Njombe juu ya uwekezaji kwenye dhamana za Serikali inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) tawi la Mbeya,katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe.

Amesema mafunzo hayo yamekuja kwa wakati muafaka na yana tija kwa ustawi wa uchumi wa watumishi wote  hivyo BOT hawana budi kuandaa ratiba mahsusi ya mafunzo hayo,ili kuwafikia watumishi wote wa Mkoa wa Njombe na Mikoa mingine.

Amewataka washiriki wa semina hiyo kusikiliza kwa umakini kutokana na umuhimu wa mafunzo hayo ,ambayo yatawawezesha kuwekeza kwenye dhamana za Serikali kwani  ni salama na kujipatia faida na  kuiwezesha Serikali kuongeza mapato.

Agathon Kipandula, Meneja fedha na utawala Benki Kuu ya Tanzania(BOT) tawi  la Mbeya amewataka watumishi wa Umma kufanya uwekezaji huo kwa tija na kutohofia uvumi unaotolewa, kwani katika dunia kuadimika kwa dola hutokea nchi zote duniani na sio Tanzania pekee.

Amesema kuwa,BOT inafanya kazi  kwa niaba ya Serikali kuuza dhamana za Serikali ,kwa njia ya minada ikiwa ni njia mojawapo ya kukopa fedha katika soko la ndani, kwa uwekezaji wa muda mrefu na mfupi kupitia mfumo wa masoko wa soko la  awali na soko la upili bila kuathiri mikopo kwa sekta binafsi.

“Katika soko la awali BOT huuza dhamana za Serikali kwa mnada kila wiki siku ya jumatano kwa njia ya ushindani na isiyo ya ushindani, ambapo kila mkazi wa jumuiya ya Afrika mashariki anastahili kushiriki na soko la upili uuzaji hufanyika na wawekezaji wenyewe”,alisema Agathon.

Washiriki wa Semina hiyo ni Wakuu wa Idara,Vitengo na Sehemu ngazi ya Mkoa na Halmashauri pamoja na taasisi za Serikali Mkoani Njombe.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa