• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

"Dhamana ya kulinda amani na usalama wa watoto kwenye jamii ni yenu" -Mwl. Samweli Komba

Tarehe iliyowekwa: July 10th, 2023

Na.Lina Sanga

Watendaji wa Kata,Mitaa na Vijiji wametakiwa kuendelea kulinda amani na usalama wa wananchi, ikiwa ni pamoja na kulinda haki na  usalama wa watoto ili kutokomeza vitendo vya kikatili katika jamii.

Rai hiyo imetolewa leo na Mwl. Samweli Komba,Afisa elimu awali na Msingi katika Halmashauri ya Mji Makambako wakati akiwasilisha maelekezo kwa Watendaji wa Kata waliohudhuria mafunzo ya  shule salama moja kati ya afua nane za mradi wa BOOST yaliyofanyika shule ya Msingi Kahawa.

Mwl. Komba amesema kuwa, Watendaji  wana jukumu kubwa la kuhakikisha amani na usalama wa raia na mali zao kwenye maeneo yao,pamoja na kushughulikia migogoro mbalimbali katika jamii ili kutokomeza vitendo vya uvunjifu wa amani na ukatili na uvunjaji wa haki za watoto.

Naye, Bw. Masinde Masinde ,Afisa Ustawi wa jamii Halmashauri ya Mji Makambako amewataka Watendaji wa Kata kufanya mikutano kwenye Kata zao na  kuwaelimisha wananchi ,juu ya umuhimu wa utoaji wa taarifa za ukatili dhidi ya watoto na kutoa ushahidi Mahakamani  juu ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto kwani ni takwa la kisheria na endapo ikibainika mtu yeyote alificha taarifa hizo kwa maslahi binafsi atashtakiwa kwa mujibu wa sheria.

Amesema kuwa kwa mujibu wa sheria ya kumlinda mtoto,Mamlaka ya Serikali za Mitaa katika kifungu cha 94 ina wajibu wa kumlinda mtoto na kila Mwananchi ana wajibu wa kumlinda mtoto na kutoa taarifa sahihi za ukatili anazofanyiwa mtoto katika familia au jamii husika   chini ya kifungu namba 95,na adhabu kwa yeyote asiyetoa taarifa za ukatili anaofanyiwa mtoto ni faini isiyopungua mil.5 au kifungo cha miezi sita au vyote kwa pamoja.

Ametoa wito kwa jamii kutambua kuwa ,suaka la kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa mtoto sio hiyari bali ni lazima kwa mujibu wa sheria,hivyo kila mtu ana wajibu wa kuhakikisha katika familia yake na jamii yake hakuna vitendo vya ukatili kwa watoto na endapo vipo taarifa zitolewe kwa watendaji wa Mitaa,Vijiji na Kata ili sheria ichukue mkondo wake.

Mwl. Exaveria Mtega,Afisa elimu Maalum Halmashauri ya Mji Makambako,ametoa rai kwa watendaji kuanzisha utaratibu wa kuhakikisha wazazi wanawatimizia watoto mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na kufanya ukaguzi wa  mahali wanapo lala  watoto kila nyumba,kama ambavyo miaka ya nyuma maafisa afya walivyokuwa wanafanya ukaguzi kwani nayo ni moja ya haki ya mtoto kulala mahali pazuri na safi.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa