• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Elimu ya watu wazima ianze kutolewa Shule ya Msingi Mfumbi.

Tarehe iliyowekwa: August 24th, 2023

Na. Lina Sanga

Rai hiyo ilitolewa jana na Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe, walipotembelea shule ya Msingi Mfumbi kujagua nyumba pacha ya walimu,ikiwa ni  ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo  katika Halmashauri ya Mji Makambako kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Akizungumza na Viongozi wa ngazi ya  Kata na Halmashauri,Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe,Mhe. Justin Nusulupila Sanga amepongeza ujenzi wa nyumba ya kisasa kwa ajili ya walimu pamoja na  ujenzi wa shule hiyo na kuwapunguzia mwendo wanafunzi kutembea zaidi ya kilomita 10 kila siku hadi shule ya msingi Kitandililo.

Amesema kuwa ujenzi wa shule hiyo yenye wanafunzi 78 kwa sasa na nyumba za walimu, una manufaa makubwa kwa wananchi wa Kitongoji cha Mfumbi,kwani kwa muda mrefu hawakuwa na shule ya msingi hivyo kuna baadhi ya watu wazima, huenda walikosa nafasi ya kujiunga na shule kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na utoro,hivyo ni wakati sahihi kwa Halmashauri kutoa elimu ya watu wazima kwa waliyoikosa.

Aidha Kamati hiyo ilitembelea mradi wa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharura(EMD), katika Hospitali ya Mji iliyopo  Mlowa,na kuishukuru Serikali kwa kutoa vifaa vya kisasa kwa ajili ya huduma ambazo zilikuwa zinatolewa Hospitali kubwa.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Halmashauri Mkoani Njombe zatakiwa kupanda miti na kuhifadhi mazingira kwa kushirikiana na wananchi

    January 19, 2026
  • Uzinduzi wa Baraza la Madiwani wafanyika leo,Mhe.Salum Mlumbe achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa miaka 5

    December 04, 2025
  • Tulichokubaliana tutatekeleza, tulinde Mji wetu tusonge mbele.

    November 29, 2025
  • Watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne 2025 watakiwa kuwa watulivu ili wapate madaraja mazuri.

    November 15, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa