• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Fungeni mita za maji za luku kumaliza malalamiko ya wananchi kuzidishiwa bili

Tarehe iliyowekwa: January 27th, 2026

Na. Lina Sanga

Rai hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Njombe Mhe. Justin Nusulupila Sanga ,katika ziara ya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa usambazaji maji Kata ya Mlowa, katika Halmashauri ya Mji Makambako chini ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Makambako (MAKUWASA).

Mhe. Sanga amesema kuwa, mita za maji za  malipo ya kabla  (luku) ni suluhisho la kumaliza malalamiko ya watumiaji maji ya kuzidishiwa bili, kwani mtumiaji atatumia maji kwa kiasi cha fedha alicholipa kama ilivyo kwa watumiaji wa umeme.

“TANESCO wamefanikiwa kumaliza malalamiko ya kuzidisha bili ya umeme kwa wateja,hivyo hata MAKUWASA mnaweza kumaliza malalamiko kupitia mita za malipo ya kabla kwani mwananchi atatumia kiasi cha maji alicholipia”,alisema Mhe. Sanga.

Awali akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa mradi huo Clement Malumwene kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa MAKUWASA, amesema kuwa mradi huo unaogharimu Bil. 3.5 ,kwa sasa umekamilika kwa asilimia 80 na utaunganishwa kupitia mradi wa maji wa Miji 28 ili wananchi wa Mlowa waweze kupata huduma ya maji iliyokosekana kwa muda mrefu.

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Njombe imetembelea jumla ya miradi sita katika Halmashauri ya Mji Makambako ikiwa ni pamoja na ujenzi wa daraja la mawe barabara ya Muungano Kata ya Utengule,mradi wa madarasa 3 na matundu 7 ya vyoo shule ya msingi Lyamkena,kutembelea shughuli za kikundi cha Vijana RAJISFAT Mtaa wa Magegele,Kata ya Kivavi,ujenzi wa shule Moya ya sekondari ya Mjimwema Mtaa wa Igangidung’u,Kata ya Kivavi na ujenzi wa zahanati ya Mwembetogwa katika Kata ya Mwembetogwa.




Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Mapokezi ya ajira mpya januari 2026 January 25, 2026
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Fungeni mita za maji za luku kumaliza malalamiko ya wananchi kuzidishiwa bili

    January 27, 2026
  • Miradi ya maendeleo yazidi kuleta mageuzi Halmashauri ya Mji Makambako

    January 25, 2026
  • Halmashauri Mkoani Njombe zatakiwa kupanda miti na kuhifadhi mazingira kwa kushirikiana na wananchi

    January 19, 2026
  • Uzinduzi wa Baraza la Madiwani wafanyika leo,Mhe.Salum Mlumbe achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa miaka 5

    December 04, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa