• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Halmashauri ya Mji Makambako yashika nafasi ya kwanza,zoezi la utoaji chanjo ya polio Mkoa wa Njombe.

Tarehe iliyowekwa: November 29th, 2022

Na. Lina Sanga

Halmashauri ya Mji Makambako imeshika nafasi ya kwanza awamu tatu mfululizo,katika kampeni za utoaji chanjo ya polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano  katika Mkoa wa Njombe.

Kauli hiyo imetolewa leo na mratibu wa Chanjo katika Halmashauri ya Mji Makambako, Bi. Tindichebwa Mazala katika kikao cha tathimini ya zoezi la kampeni za chanjo ya polio  zilizofanyika awamu tatu na utambulisho wa awamu ya nne ya kampeni ya chanjo ya polio itayoanza kutolewa desemba 1 hadi 4,2022 kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Tindichebwa amesema kuwa matokeo ya kampeni zilizopita  yamefikia lengo ambapo awamu ya kwanza  watoto waliopata chanjo ni asilimia 144,awamu ya pili ni asilimia 125 na awamu ya tatu ni asilimia 120, na katika awamu ya nne ambayo ndiyo ya mwisho jumla ya watoto 33,496 wanatarajiwa kupata chanjo hiyo ili kukamilisha dozi.

Amesema kuwa,idadi hiyo ya watoto ambao ni walengwa wa kampeni ya chanjo awamu ya nne, inatokana na idadi ya watoto waliopata chanjo awamu ya tatu.

Ametoa wito kwa wazazi na walezi kuhamasika na kuhakikisha kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano,anapata chanjo ya polio  awamu ya nne ili kupata kinga kamili na kuachana na dhana potofu zilizojengeka katika fikra za baadhi ya watu.

Emmanuel George,Katibu Tawala Wilaya ya Njombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya afya ya msingi ametoa rai kwa wataalamu wa afya kuzingatia matumizi ya lugha rahisi,ili waweze kueleweka kwa wazazi na walezi wa watoto wanaotakiwa kupata chanjo hiyo kwa kutoa majibu sahihi juu ya utoaji wa chanjo ya polio kwa awamu nne.

Aidha, amewataka wataalamu wote wa afya wataoshiriki katika zoezi la utoaji chanjo nyumba kwa nyumba,kuwa wabunifu na kuzingatia muda na mazingira  ambayo wazazi na walezi  wanapatikana ili kihakikisha kila mtoto anapata chanjo hiyo ikibidi wafuatwe shuleni na maeneo mengine walipo kutokana na msimu wa kilimo.

Ametoa rai kwa wajumbe wote wa kikao cha kamati ya afya ya msingi kuhamasisha jamii na familia zenye watoto chini ya umri wa miaka mitano,ili watoto hao wapate chanjo ya polio awamu ya nne na kukamilisha dozi.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa