• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Halmashauri ya Mji Makambako yatakiwa kuongeza ujenzi wa miundombinu ya elimu hususani nyumba za walimu katika shule za Vijiji vilivyopo pembezoni Mwa Mji.

Tarehe iliyowekwa: May 24th, 2023

Na. Lina Sanga

Halmashauri ya Mji Makambako imetakiwa kuendelea kuongeza miundombinu ya elimu hususani nyumba za walimu katika shule zilizopo pembezoni mwa Mji,ili kuwavutia walimu kufanya kazi katika shule hizo na kupunguza uhaba wa walimu shuleni.

Rai hiyo leo na Kamati ya Fedha na Uongozi katika ziara ya ukaguzi wa mradi wa nyumba pacha  ya watumishi katika shule ya Msingi Mfumbi,iliyopo Kijiji cha Mfumbi,Kata ya Kitandililo.

Mhe. Odilo Fute,diwani wa Kata ya Mlowa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi,amepongeza ujenzi wa nyumba hiyo ya walimu katika shule hiyo na kusema kuwa, ipo haja ya kuendelea kuongeza na kuboresha mazingira kwenye vijiji vilivyopo pembezoni mwa Mji kama kijiji cha  Mfumbi na Wangama hususan nyumba za walimu ili walimu wasihame kwa kukosa nyumba za kuishi.

Amesema kuwa,katika vijiji hivyo hakuna hata nyumba za kupanga pamoja wala  usafiri wa uhakika, hivyo mazingira yakiwa mazuri walimu  watavutiwa kufanya kazi kwenye shule za Vijiji hivyo.

Aidha,ametoa pongezi kwa Mkurugenzi kupitia  idara ya elimu ya awali na msingi na idara ya miundombinu kwa kusimamia vizuri mradi huo kwa viwango vyenye ubora.

Naye,Mwenyekiti wa kjjiji cha Mfumbi ,Juhudi Ng'umbi ametoa pongezi kwa Mkurugenzi kwa kuhamasisha ujenzi wa nyumba ya watumishi na kutoa shukurani  kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa jimbo la Makambako,Mhe. Deo K. Sanga kwa kusimamia  na kufanikisha zoezi la kusogeza huduma ya umeme katika Kijiji cha Mfumbi na sasa transfoma imefika  na umeme utaanza kusambazwa  hivi karibuni.

Ujenzi wa nyumba pacha ya watumishi katika shule ya msingi Mfumbi,umegharimu jumla  ya Mil. 53.8 na mradi upo hatua za ukamilishaji ambapo  hadi kukamilika utagharimu jumla ya Mil. 61.8.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa