• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Jumla ya lita Mil 4.9 za maji zinahitajika Halmashauri ya Mji Makambako

Tarehe iliyowekwa: July 20th, 2022

Na. Lina Sanga

Jumla ya lita mil 4.9 za maji zinahitajika katika Halmashauri ya Mji Makambako ili tatizo la uhaba wa maji litoweke na wananchi wote kunufaika na huduma ya maji.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Makambako (MAKUWASA),Mhandisi Oscar Lufyagile katika Mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Makambako,Mhe. Deo Kasenyenda Sanga uliofanyika leo katika Mitaa mitatu na kuzungumza na wananchi wa mitaa saba ya Kata ya Lyamkena,ikiwa ni ziara ya Mbunge kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza wananchi pamoja na kutoa jumbe mbalimbali za Serikali kama bajeti ya mwaka 2022/2023,Sensa ya watu na Makazi,Mbolea ya ruzuku na chanjo ya Uviko 19.

Mhandisi Lufyagile amesema kuwa,katika Halmashauri ya Mji Makambako jumla ya lita Mil 9.6 za maji zinahitajika,lita za maji zilizopo ni Mil 4.7 na kupelekea upungufu wa lita Mil 4.9 za maji ambazo huenda zikapungua zaidi baada ya mradi wa bil. 42 kuanza kutekelezwa.

Amesema kuwa mradi huo wa maji unaogharimu jumla ya bil. 42  tayari mkandarasi yupo eneo la kazi kwa ajili ya kuanza kazi, na atatekeleza mradi katika Miji sita Makambako, Njombe, Wang’ing’ombe, Rujewa,Chunya na Ifakara na kila Mji ataweka wakandarasi wadogo hivyo kupitia mradi huo vijana wengi watanufaika na ajira,kwani moja ya masharti ya utekelezaji wa mradi wafanyakazi watoke katika maeneo ambayo mradi upo hivyo vijana wa Makambako wengi watapata ajira kuanzia kazi ya ulinzi, uchimbaji mitaro, ufundi  na kazi zingine kwani mkandarasi anatarajia kuweka kambi kubwa hapa Makambako.

Ameongeza kuwa licha ya fedha hizo pia Mamlaka kupitia mapato ya ndani jumla ya shilingi Mil 400 zimetengwa na jumla ya shilingi Mil 600 zimepokelewa kutoka Serikali kuu na kupelekea jumla ya bil. 1 kwa mwaka huu wa fedha kwa ajili ya mradi wa maji.

Ziara ya Mbunge leo imefanyika katika Mtaa wa Lyamkena,Kiumba Na Ikwete ikijumuisha wananchi wa Mitaa hiyo pamoja na mtaa wa Ilangamoto, Muungano,makatani na Mapinduzi ya Kijani.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa