• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Kamati ya Fedha na Uongozi yaridhishwa na mradi wa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa wa kikundi cha Tupende Chetu.

Tarehe iliyowekwa: May 24th, 2023

Na. Lina Sanga

Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Mji Makambako, imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa,unaotekelezwa na  kikundi cha wanawake cha  Tupende Chetu kilichopo Mtaa wa Sigrid katika Kata ya Kivavi ambacho ni moja kati ya Vikundi vilivyonufaika na mkopo wa asilimia 10,unaotolewa na Halmashauri kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu.

Akizungumza na wana kikundi hao leo mara baada ya ukaguzi wa mradi huo katika ziara ya Kamati hiyo ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo,Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako,Mhe. Rosemary Lwiva amesema kuwa ni nadra sana vikundi kufanya mradi kwa pamoja lakini Kikundi cha Kipende chetu kimefanikiwa kufanya ufugaji wa pamoja katika eneo moja bila kugawana mifugo na kuwapongeza kwa kuaminiana na kufanikisha mradi huo.

Ametoa wito kwa wanakikundi hao kufanya marejesho kwa wakati ili kujiongezea nafasi ya kupata mkopo mkubwa zaidi na kuwataka  kuendelea kukopa hata kama mikopo ya vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kuhamishiwa benki kama alivyosema Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wanakikundi hao kwa pamoja wametoa shukrani kwa  Rais Samia,Mbunge wa jimbo la Makambako Mhe. Deo K. Sanga pamoja na baraza la madiwani na Mkurugenzi kwa kutoa fedha za mikopo 10% ambayo imewawezesha kununua ng'ombe na  kuwapa  manufaa.

Kikundi cha Tupende chetu chenye jumla ya wanakikundi watano kilipata mkopo wenye jumla ya mil. 12 na kufanikiwa kununua ng'ombe wa maziwa watatu ambao kwa sasa wameanza kukamua maziwa kwa siku wanapata lita 15 ambazo wanauza lita 1 shilingi 1,200.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa