• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Kikao cha Baraza la Madiwani 19/5/2021.

Tarehe iliyowekwa: May 19th, 2021

Ni kikao cha baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji wa Makambako ambacho hufanyika kila baada ya miezi mitatu lengo likiwa ni kujadili mapato na matumizi pamoja na miradi ya maendeleo ya Halmashauri. Katika kikao hicho masuala mbalimbali muhimu ambayo yamejadiliwa ni pamoja na :

Ukusanyanji wa mapato ya Halmashauri ambapo imejadiliwa kuwa mapato kwa sasa si yakuridhisha hivyo basi watendaji /wahusika wa kuhimiza na kufuatilia suala la mapato ni vema wakashirikiana kwaajili ya kuongeza mapato ya Halmashauri kwa maendeleo kwa ujumla.

Suala la elimu kwa shule za Msingi na sekondari pia wazazi wamahimizwa kuendelea kuchangia chakula cha mchana kwa wanafunzi ili kuboresha mazingira ya elimu lakini pia Kuchangia madawati kwaajili ya watoto wao lengo likwa ni kuepusha adha ya watoto kukosa viti na madawati. 

Suala la usalama  kwa Halmashauri ,ambapo kamati ya Ulinzi na usalama imewahakikishia wajumbe kuwa hali ni shwari lakini suala la ushirikiano kwa wajumbe hususani Madiwani ,Wananchi na Watendaji katika masuala mazima ya kuwafichua wale wanao ashiria vitendo vya kuvunja amani na usalama wa Halmashauri kwa ujumla .

Miundo mbinu ya barabara bado imetizamwa kwa jicho la tatu kwani barabara nyingi zimeharibiwa hasa katika msimu wa masika hivyo zinatakiwa kufanyiwa marekebisho makubwa  hasa kwa barabara za pembezoni mwa Mji mfano:Maguvani ,Mtanga,Mahongole na usetule  barabara hizo zipo katika kiwango ambacho Tarura wanatakiwa kufanyia kazi kwani ni mbovu kwaujumla .

Suala la maji pia Baraza limejadili kwa kina  kwa  kata za Halmashauri ya Mji wa Makambako, bado kata ya Mlowa ina changamoto kubwa sana ya maji hasa ukizingatia uwepo wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Makambako yenye hadhi ya Wilaya hivyo umuhimu wa maji maeneo hayo ni mkubwa sana ,aidha maeneo ambayo yanapata huduma ya maji ya bomba bado changamoto yake ni kubwa,kwani maji hutoka machafu  jambo ambalo wajumbe wametaka mamlaka husika kujibia suala la maji kutoka katika hali ya rangi ya matope ambapo majibu yake yamejibiwa kuwa zoezi la kutibu maji linaendelea kwaajii ya Wananchi kupata maji safi .

Pia waheshimiwa Madiwani wamependekeza kuwa maeneo ya wazi katika Halmashauri ya Mji wa Makambako yasiachwe kwa muda mrefu sana yafanyiwe kazi ambapo wajumbe wameshauri kuwa ni vema eneo la wazi la stendi ya maroli Mwembetogwa ianzishwe hata bustani ambayo itakuwa kama kivuto cha utalii na kuongeza mapato ya Halmashauri ya Mji wa Makambako.  

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa