• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Kila mwananchi ruksa kujenga vibanda soko la nyanya.

Tarehe iliyowekwa: November 7th, 2023

Na. Lina Sanga

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Makambako limeazimia ujenzi wa soko la nyanya katika Kata ya Mjimwema kuruhusu wananchi wote wenye nia ya kujenga vibanda katika soko hilo kupewa eneo na kusainishwa mkataba wa ujenzi,kwani wadau waliokuwa wakifanya biashara katika soko hilo wameonyesha kushindwa kukamilisha ujenzi ndani ya muda uliopangwa na wengine kutojitokeza kabisa.

Azimio hilo limetolewa leo katika mkutano wa baraza la Madiwani katika kipindi cha kuishia robo ya kwanza (julai – septemba)katika mwaka wa fedha 2023/2024 mara baada ya diwani wa Kata ya Mjimwema,Mhe. Nolasko Mlowe kuhoji hatima ya ujenzi wa soko hilo kutokana na ujenzi kusimama kwa muda mrefu.

Mhe. Hanana Mfikwa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako ambaye ndiye Mwenyekiti wa baraza la Mdiwani amesema kuwa,suala la ujenzi wa soko la nyanya limechukua muda mrefu ,hivyo kwa sasa ni wakati wa kila mwananchi kutangaziwa kuhusu fursa ya ujenzi wa vibanda katika soko hilo kwani wadau ambao walikuwa wakifanya biashara katika soko hilo wameonyesha wazi  kuwa hawawezi kujenga.

Ametoa wito kwa wananchi wote wenye nia ya kujenga vibanda kwenye soko hilo ndani ya muda uliopangwa,kufika katika ofisi ya Mkurugenzi ili wapewe utaratibu na kusaini mkataba wa ujenzi ili Halmashauri ipate mapato na wananchi wapate huduma.

“Mheshimiwa diwani wa eneo husika kawaelimishe watu  wako kwamba  sisi Halmashauri  tumengojea kwa muda wa kutosha, mtu yeyote ambaye hata kuwa na uwezo au nia ya kujenga,sisi tunampatia mtu mwingine tusiwe na lawama yoyote,zaidi ya miaka mitano tunaongea kitu kama hicho ni watu wa ajabu hatuwezi tukafika kwa namna hiyo ,lazima kitu chochote kiwe na mpaka wa muda ,hivyo yeyote anayetaka kujenga vibanda afike kwa Mkurugenzi apewe mkataba na apewe eneo ajenge vibanda ndani ya muda unaotakiwa na hakutakuwa na nyongeza za hovyo hovyo katika mikataba ya namna hiyo,habari ya tumenyang’anywa vibanda wamepewa matajiri tumewatangazia na tumevumilia kwa muda mrefu,vibanda anajenga mtu yeyote bila kuathiri mikataba”,alisema Mhe. Hanana.

Awali akijibu hoja hiyo, Bi. Appia Mayemba,Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako amesema kuwa,zoezi la ujenzi wa soko la nyanya lilitangazwa ,kipaumbele ilikuwa wadau waliokuwa wanafanya biashara katika soko hilo na walipatikana  wadau ishirini na kuna ujenzi wa vibanda 20 utaendelea baada ya kuongezewa mkataba mpya na kwa sasa kila mwananchi anaruhusiwa kujenga kwa kufuata utaratibu uliowekwa kwani wadau waliokuwa sokoni hapo hawaonyeshi ushirikiano.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa