• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Kiwanda cha kuchakata mafuta ya parachichi kujengwa Njombe.

Tarehe iliyowekwa: January 18th, 2023

Na. Lina Sanga

Taarifa  hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo,Mhe. Hussein Bashe katika kikao cha wadau wa kilimo kilichofanyika jana katika Halmashauri ya Mji Makambako,na kubainisha kuwa kiwanda hicho kitakuwa mahususi kwa ajili ya parachichi ambazo zitakataliwa kiwandani kwa kukosa ubora wa kuuzwa katika soko la dunia.

Mh. Bashe amesema kuwa ,Serikali inafanya mazungumzo na kampuni binafsi moja na wasipofikia muafaka Serikali itaweka fedha kwa ajili ya kuwekeza kiwanda hicho ili kumuokoa mkulima asipoteze tunda lolote.

“Tumemwambia huyo mwekezaji lete mashine utafunga katika eneo la Serikali na tutakupa mkataba wa miaka mingi,nimeshaongea nae na kwa sasa atawasiliana na Mkoa na mamlaka zinazohusika na eneo lililopendekezwa,ili parachichi za wakulima zisitupwe ambazo hazifai kusafirishwa nje zipelekwe kiwandani kwa ajili ya kuchakata  mafuta,safari hii itatuchukua Muda hivyo ni lazima tuianze sasa”,alisema Mhe. Bashe.

Aidha,Mhe. Bashe amebainisha kuwa,Serikali itabadilisha bei ya zao la chai kwa mkulima ambayo inauzwa bei ndogo tofauti na bei ya sokoni,Wizara imefanya utafiti wa mzunguko wa bei ya chai kutoka Tanzania na ubora wake na kupata suluhisho la bei ya mkulima kuuza chai na bei mpya itatangazwa baada ya Mkutano wa wadau wa kilimo cha chai utakaofanyika leo  januari 18,Mkoani Iringa.

Pia amebainisha kuwa,mchakato wa kuanzishwa kwa mnada wa zao la chai nchini umekamilika na gharama za usafirishaji wa kontena moja la chai kutoka Njombe hadi Mombasa ni Mil. 8.2 na gharama ya kutoka Njombe hadi Dar es salaam ni Mil. 3.9 kwa kontena moja hivyo kuanzishwa kwa mnada wa chai katika Mkoa wa Dar es salaam hakutakuwa na sababu ya kupeleka chai Mombasa kwani mnada huo hauna tozo yoyote Serikali inabeba gharama zote.

Amesema kuwa,lengo la kuanzishwa kwa mnada huo ni kupata uwazi wa bei ya chai ili kupata uwiano wa bei ya chai anayouza  mkulima na bei ya chai ambayo mfanyabiashara anauza katika soko la dunia.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa