• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mashine za kusaga sembe kuhamishiwa idofi na Majengo,Siku saba zatolewa kwa wafanyabiashara wa mazao walio nje ya soko kuu Makambako kurejea Soko la Mazao Kiumba, Viazi kushushwa soko la Magegele na Matunda soko la Maguvani kuanzia leo

Tarehe iliyowekwa: July 15th, 2024

Na. Lina Sanga

Uongozi wa Halmashauri ya Mji Makambako umetoa wito kwa wamiliki wa mashine za kusaga sembe, kununua viwanja vilivyotengwa na Halmashauri kwa ajili ya viwanda vidogo eneo la majengo na Idofi,ili kuanza ujenzi kabla ya agizo la kuhama halijatolewa.

Mhe. Hanana Mfikwa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako amesema kuwa, kama walivyohamishwa wenye mashine za kukoboa mpunga muda wa kuhamisha mashine za kusaga sembe pia utafika, hivyo ni wakati sasa kwa wamiliki wa mashine za kusaga sembe kununua viwanja mahususi kwa ajili ya viwanja vilivyotengwa na Halmashauri.

Ametoa wito kwa wamiliki wa mashine hizo kufika katika  ofisi ya mkurugenzi ili wapewe maeneo kwa ajili ya ujenzi wa mashine za kusaga sembe na wakabidhiwe hati baada ya kukamilisha malipo , lakini pia Halmashauri itatenga eneo kwa ajili ya kiwanda cha kuzalisha sembe katika eneo la Kiumba ili mtu akinunua mahindi asage sembe papo hapo.

Ametoa rai kwa wafanyabiashara wa mazao wote walio nje ya soko kuu kuhamisha mazao yote soko la kiumba ndani ya siku saba kuanzia leo julai 15,2024 na magari ya mizigo ya viazi kuanza kushusha viazi katika soko la Magegele na Matunda katika soko la Maguvani zaidi ya hapo mfanyabiashara au dereva wa gari litalokamatwa atalazimika kulipa faini isiyopungua Mil. 1.

Leo julai 15,2024 kimefanyika  kikao cha timu ya menejimenti na wafanyabiashara wajenzi wa maghala na vizimba katika soko la  mazao la Kiumba,kukubaliana muda wa kurejea sokoni ambapo siku saba zimetolewa kwa wafanyabiashara hao kurejea soko rasmi la mazao la Kiumba,magari ya mizigo ya viazi kuanza kushusha viazi soko la Magegele na magari ya mizigo ya matunda kushusha matunda katika soko la Maguvani.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa