• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua rasmi mfumo wa mbolea ya ruzuku

Tarehe iliyowekwa: August 8th, 2022

Na. Lina Sanga

Mbeya

Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua rasmi mfumo wa mbolea ya ruzuku.

Ufunguzi wa mfumo wa mbolea ya ruzuku umefunguliwa rasmi leo na Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika viwanja vya John Mwakangale katika kilele cha maadhimisho ya maonyesho ya nanenane Mkoani Mbeya.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa zoezi la mbolea ya ruzuku,Mhe. Hussein Bashe Waziri wa Kilimo amesema kuwa hadi sasa Mfumo umekamilika, kuanzia mbolea inavoingia, usajili wa mbolea,mzabuni na Msambazaji  wa mbolea na kuwapa namba za utambulisho.

"Kila mfuko wa mbolea utakuwa na namba yake ambayo haitaweza kutumika tena ,na kila kampuni itakuwa na namba yake,msambazaji atakuwa na namba yake ya utambulisho na kila  mkulima atakua na namba yake ya utambulisho",alisema Mhe. Bashe.

Mhe. Bashe amesema kuwa kupitia namba ya utambulisho ya kila mfuko wa mbolea, ukinunuliwa dukani utasomeka kwenye mfumo kwa kuonyesha namba ya mfuko wa mbolea iliyonunuliwa,jina la muuzaji na namba ya utambulisho,mahali ambapo mbolea hiyo imenunuliwa na jina la mkulima  na namba yake ya utambulisho.

Amesema suala la usajili wa wakulima na utoaji wa mbolea ya ruzuku kwa sasa umefanyika sambamba kutokana na dharura,lakini baada ya miaka miwili wakulima wote watakuwa wamesajiliwa.

Mhe. Bashe amebainisha bei za ruzuku kwa kila mbolea ambapo mbolea ya DAP inayouzwa 131,000 sasa itauzwa 70,000 bei ya ruzuku  mfuko mmoja,mbolea ya UREA inayouzwa 124,734 itauzwa 70,000 bei ya ruzuku kwa mfuko mmoja,Mbolea ya CAN inayouzwa 108,156 itauzwa 60,000 bei ya ruzuku kwa mfuko mmoja,mbolea ya SA inayouzwa 82,852 itauzwa 50,000 bei ya ruzuku kwa mfuko mmoja na mbolea zote za kupandia (NPK)  zinazouzwa 122,995 zitauzwa 70,000 kwa mfuko mmoja.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa