• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mil 134 za Mfuko wa maendeleo ya jamii miradi yakupunguza umasikini( TPRP IV) kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Tarehe iliyowekwa: November 22nd, 2022

Na. Lina Sanga

TASAF kupitia Mfuko wa maendeleo ya jamii miradi yakupunguza umasikini( TPRP IV) kwa mwaka wa fedha  2021/2022 umetoa  zaidi  ya Mil. 134 , ambazo zimetumika katika ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa na ofisi moja,pamoja na ujenzi wa matundu 12 kwa ajili ya wanafunzi na walimu.

Geofrey Danda,Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi shikizi Magongo iliyopo ,Kata ya Makambako amesema kuwa kupitia madarasa yaliyojengwa kwa ufadhili wa TASAF msongamano wa watoto katika shule ya msingi Juhudi ambayo inatumika hivi sasa  utapungua, kwani kwa sasa shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 1,397 na uandikishaji wa darasa la awali unaendelea.

Amesema kuwa,ujenzi wa madarasa hayo pamoja na vyoo umesaidia kupunguza jumla ya wanafunzi 188 ambao ni kuanzia darasa la kwanza hadi darasa la saba,na msomo yataanza  rasmi januari,2023,kwani TASAF imekamilisha miundombinu yote muhimu kuanzia vyoo,madarasa hadi samani ikiwa ni pamoja na madawati,meza,viti na makabati na uandikishaji wa darasa la awali umeanza shuleni hapo.

Ameipongeza Serikali kupitia Mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) kwa kujenga miundombinu ya madarasa katika shule ya msingi shikizi ya Magongo, ambayo yatasaidia kuongeza mahudhurio ya wanafunzi na kuongeza ufanisi wa ujifunzaji na ufundishaji kwa wanafunzi kutotembea umbali mrefu.   

“Hali ya kijiografia katika Mtaa huu wa Magongo kuna mabonde na milima mingi ambayo kwa namna kubwa imechangia mahudhurio hafifu kwa wanafunzi,kila siku mtoto alilazimika kutembea umbali wa kilomita 7 kutoka Magongo hadi shule ya msingi Juhudi iliyopo Mtaa wa Kipagamo,wanafunzi wengine waliishiakwenye vichaka na kukosa masomo kwa sababu ya utoro,kupitia ujenzi wa madarasa haya naamini mahudhurio yatakuwa ya kuridhisha na wanafunzi watapata nafasi ya kujifunza”,alisema Mwl. Danda.

Ametoa wito kwa wazazi na walezi wote katika Mtaa wa Magongo na maeneo jirani,kuwasimamia watoto na kuhakikisha wanahudhuria masomo kila siku kwani Serikali imesogeza huduma ya shule  jirani ili watoto wote wapate nafasi ya kujifunza na kukuza taaluma.   

                     Madarasa matano na Ofisi moja yaliyojengwa na Tasaf kwa awamu ya kwanza na awamu ya mili 2021/2022.                                                                                                                                                                                                                           Vyumba vya  Madarasa matatu awamu ya pili katika hatua ya ukamilishaji.

Vyumba vya madarasa mawili na ofisi moja -awamu ya kwanza ujenzi umekamilika.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa