• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mil. 29.5 za mapato ya ndani zatumika kununua pikipiki kumi.

Tarehe iliyowekwa: August 30th, 2022

Na. Lina Sanga

Halmashauri ya Mji Makambako kupitia mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2021/2022 imenunua pikipiki 10, zenye thamani ya Mil  29.5 kwa ajili ya kuwawezesha watumishi Kutekeleza majukumu yao kwa wakati na kuwafikia wananchi Wanaohitaji huduma bila kikwazo.

Akikabidhi pikipiki hizo leo,Mhe. Hanana Mfikwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako amempongeza Mkurugenzi,timu ya wataalamu na madiwani,kwa kuridhia Ununuzi wa pikipiki hizo ili kutatua changamoto ya usafiri kwa watumishi hasa watendaji wa Kata za pembezoni mwa Mji.

Aidha amewapongeza wananchi wa Halmashauri ya Mji  Makambako kwa kuchangia mapato ya Halmashauri ambayo yanawezesha utekelezaji wa miradi mbalimbali,ikiwa ni pamoja na ununuzi wa vyombo vya usafiri ambavyo vinatumika kutoa huduma kwa wananchi ambao ni walipaji wazuri wa kodi na ushuru mbalimbali za Halmashauri.

Ametoa wito kwa watumishi waliokabidhiwa pikipiki hizo,kuzingatia sheria za usalama barabarani na kutumia pikipiki kwa kazi zilizokusudiwa pamoja na kuzitunza.

Jumla ya watendaji wa Kata watano wamekabidhiwa Pikipiki leo ili kuwawezesha kuwahudumia wananchi bila Kikwazo cha usafiri,Kata zilizopata pikipiki ni pamoja na Kata ya Mlowa, Kitandililo, Mahongole, Utengule na Msimamizi Wa Watendaji.

Pia Wahasibu wa Mapato wawili wa Kitengo cha fedha wamekabidhiwa Pikipiki ili waweze kuongeza nguvu katika usimamizi na  ukusanyaji wa mapato, Afisa biashara mmoja kwa ajili ya kufuatilia masuala mbalimbali ya biashara,uwekezaji na Viwanda ikiwa ni pamoja na ufuatiliaji wa leseni za biashara.

Lakini pia,Afisa maendeleo ya jamii mmoja kwa ajili ya ufuatiliaji wa  Mikopo na marejesho ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vikundi vya Wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu pamoja na pikipiki moja kwa Afisa Mifugo kwa ajili ya ufuatiliaji wa shughuli za ufugaji wa samaki na mapato yanayotokana na Samaki pamoja na ukaguzi wa nyama.




Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa