• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mil. 583.2 kujenga shule ya sekondari mpya Kijiji cha Mbugani,Kata ya Kitandililo

Tarehe iliyowekwa: July 12th, 2023

Na. Lina Sanga

Serikali imetoa jumla ya Mil. 583.2 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari Mpya katika Kijiji cha Mbugani, Kata ya Kitandililo ili kuwapunguzia mwendo wanafunzi wanaojiunga na masomo ya sekondari kutembea zaidi ya kilomita 20 kila siku kutoka Kijijini hapo hadi shule ya sekondari Mlowa na Kitandililo.

Taarifa hiyo imetolewa leo na Afisa elimu sekondari wa  Halmashauri ya Mji Makambako,Mwl. Aderick Nombo  wakati akiutambulisha mradi huo kwa wananchi wa Kijiji cha Mbugani ili waweze kushiriki  na kuumiliki mradi.

Mwl. Nombo amesema kuwa,Mil. 583 ni nyingi zikitamkwa lakini katika utekelezaji wa miradi haitoshi ,hivyo jitihada za wananchi zinahitajika ili kupunguza gharama ili fedha hizo zikamilishe mradi na uanze kutumika.

Ametoa rai kwa wananchi wa Kijiji cha Mbugani kuendelea kujitoa kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo na kuachana na maneno ya wapinga maendeleo kuwa fedha hizo ni nyingi na kukwamisha ukamilishaji wa mradi.

Amesema kuwa,katika hatua za awali za mradi kila mwananchi ajitoe kushiriki kama kusafisha eneo, kumwaga jamvi,maji na kuchimba msingi, ili fedha zilizoletwa na Serikali zitoshe kukamilisha mradi ifikapo Oktoba 30,2023 shule hiyo isajiliwe mapema na  ianze rasmi ifikapo januari,2024.

Naye, Afisa Maendeleo ya jamii wa Halmashauri ya Mji Makambako, Bi. Zuena Ungele ametoa wito kwa wananchi wa Mbugani kuupokea mradi na kushiriki katika shughuli mbalimbali,ili mradi ukamilike kwa wakati kupitia fedha zilizotolewa na Serikali kwa kuzingatia umuhimu wa shule hiyo katika Kijiji hicho na kuwalinda  watoto dhidi ya ukatili ambao wanafanyiwa njiani kama kubakwa na kulawitiwa kutokana na kutembea umbali mrefu.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa