• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Miradi ya maendeleo yazidi kuleta mageuzi Halmashauri ya Mji Makambako

Tarehe iliyowekwa: January 25th, 2026

Na. Tanessa Lyimo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako Mhe.Salum  Mlumbe amepongeza utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais kwa wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuleta fedha za miradi hali itayowezesha ukamilishaji wa miradi iliyoanzishwa na nguvu za wananchi na kutatua changamoto mbalimbali katika jamii.

Mhe. Mlumbe alitoa kauli hiyo januari 23,2026 katika ziara ya kamati ya Fedha na uongozi ya Halmashauri ya Mji Makambako  ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha kuishia robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi  wa Shule ya mpya ya Awali na Msingi katika eneo la shule ya Sekondari Mahongole kwa kupitia Serikali kuu chini ya mradi wa Kuimarisha Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za Msingi (BOOST),Ujenzi wa madarasa 3 na matundu 7 katika Shule ya Msingi Lyamkena kupitia mradi wa Kuinua Uwezo wa Walimu katika Ufundishaji na Ujifunzaji (GPE-TSP),ukamilishaji wa Maabara katika shule ya Sekondari DeoSanga Kata ya Kivavi na Ujenzi wa Miundombinu ya Zahanati ya Mwembetogwa kupitia miradi ya Kupunguza umaskini (TASAF) pamoja na mradi wa vijana wa uatikaji wa Miche kupitia  mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri  kwa vikundi vya wanawake ,vijana na watu wenye ulemavu.


Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Mapokezi ya ajira mpya januari 2026 January 25, 2026
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Miradi ya maendeleo yazidi kuleta mageuzi Halmashauri ya Mji Makambako

    January 25, 2026
  • Halmashauri Mkoani Njombe zatakiwa kupanda miti na kuhifadhi mazingira kwa kushirikiana na wananchi

    January 19, 2026
  • Uzinduzi wa Baraza la Madiwani wafanyika leo,Mhe.Salum Mlumbe achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa miaka 5

    December 04, 2025
  • Tulichokubaliana tutatekeleza, tulinde Mji wetu tusonge mbele.

    November 29, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa