• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mkurugenzi mualike Kamishna wa ofisi ya ardhi Mkoa wa Njombe baraza lijalo - Mhe. Hanana Mfikwa

Tarehe iliyowekwa: October 27th, 2022

Na. Lina Sanga

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako na  baraza la Madiwani,Mhe. Hanana Mfikwa amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako kumualika Kamishna wa ofisi ya ardhi Mkoa wa Njombe katika Mkutano wa baraza la madiwani lijalo ili ajibu hoja za wananchi kuhusu hati za viwanja kuchelewa kutolewa tofauti na awali.

Mhe. Hanana ametoa agizo hilo leo katika Mkutano wa baraza la Madiwani kwa kipindi cha kuishia robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2022/2023,uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji Makambako.

Amesema kuwa ipo haja ya Kamishna wa ardhi kuhudhuria mkutano wa baraza lijalo ili atoe majibu kuhusu malalamiko ya wananchi waliopimiwa hati zao kuchelewa kutolewa ingawa ofisi ipo ndani ya Mkoa wa Njombe tofauti na nyakati za nyuma ambapo ofisi hizo zilipokuwa Mkoa wa Mbeya.

Mhe. Salum Mlumbe,diwani wa Kata ya Lyamkena amesema kuwa upatikanaji wa hati miliki za viwanja kwa sasa ni changamoto tofauti na miaka ya nyuma ambapo huduma hiyo ilikuwa ikitolewa mkoa wa Mbeya,hali inayowakwamisha wananchi kujikwamua kiuchumi kupitia hati hizo na kusababisha wananchi wengi kukosa mwamko wa kupimiwa viwanja.

Aidha Mhe. Hanana ametoa wito kwa wananchi kushiriki mikutano ya baraza la madiwani ili kusikiliza na kupata uelewa wa masuala mbalimbali yanayofanyika na yanayotarajiwa kufanyika katika Halmashauri yao.

Wakati huo huo,Mhe. Hanana ametoa rai kwa wajenzi wa vibanda na wafanyabiashara katika soko la nyanya lililopo katika Kata ya MjiMwema,kukamilisha ujenzi wa vibanda ndani ya miezi tisa waliyopewa na kwa ambaye hana uwezo wa kukamilisha ujenzi ndani ya muda huo apishe wenye uwezo wajenge.

Pia, ametoa rai kwa wananchi wote ndani na nje ya Halmashauri ya Mji Makambako kujitokeza kununua viwanja vinavyouzwa na Halmashauri,vilivyopangwa kisasa katika Mtaa wa Idofi,Kihanga na Majengo kwa ajili ya ujenzi wa makazi na uwekezaji wa viwanda vidogo vidogo na magahala.

Halmashauri ya Mji Makambako ilifanya upimaji wa  jumla ya viwanja 219 kwa ukubwa na matumizi mbalimbali kama vile vinjwa vya makazi pekee vinavyouzwa shilingi 2,500 kwa mita za mraba,makazi na biashara vinauzwa shilingi 3,000 kwa mita za mraba,shule ya awali vinauzwa shilingi 3,000 kwa mita za mraba,viwanda vidogo na maghala vinauzwa shilingi 3,000 kwa mita za mraba eneo la idofi na kihanga.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa