• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mwalimu ndiye anayewamudu watoto , apewe utulivu wa akili kufanya mapinduzi sekta ya elimu na malezi.

Tarehe iliyowekwa: May 29th, 2024

Na. Lina Sanga

Rai hiyo imetolewa leo na Mwl. Vicent Kayombo,Afisa elimu Mkoa wa Dodoma, akimuwakilisha Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI ,Dkt. Charles Msonde katika ziara ya kuongea na walimu wote           nchini ikiwa ni pamoja na Mkoa wa Njombe.

Akiwasilisha maagizo ya Naibu Katibu Mkuu kwa walimu wa Halmashauri ya Mji Makambako,Mwl. Kayombo amewataka walimu kuwa watulivu kwani Serikali,kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI na Utumishi,wameshughulikia kero mbalimbali zilizokuwa zikiwakabili walimu wote nchini ikiwa ni suala la madaraja na miundo, ili kutatua kero hiyo mwezi julai,2024 walimu 54,000 wanapandishwa madaraja kwa mseleleko na walimu 52,000 wanapandishwa kawaida.

Amesema kuwa, kwa halmashauri ambazo mwezi julai,2024 mwalimu asipopandishwa daraja kwa sababu yoyote ile, Afisa utumishi atawajibika kwa kukiuka maagizo ya kuhakikisha walimu wote kuwa katika nafasi wanazotakiwa kuwa katika madaraja na miundo.

Pia, amewaagiza maafisa elimu kuhakikisha madeni ya malipo ya fedha za likizo na uhamisho zinalipwa kwa kuzingatia mtiririko,kwa kuanza kuwalipa walimu waliotangulia kudai fedha hizo badala ya kulipa madai mapya.

Aidha, amesisitiza suala la upendo baina ya walimu huku akiwataka maafisa elimu Kata kuwa viungo katika ya shule na mamlaka za juu,kuonyana kwa upendo na staha,kwa kutotoleana lugha zisizofaa na kusisitiza ubunifu katika ufundishaji ili kufanya mapinduzi katika sekta ya elimu kwa kuhakikisha matokeo mazuri yanapatikana.

Ametoa rai kwa wazazi na jamii kutambua umuhimu wa walimu kwani walimu wana jukumu la kusimamia malezi ya watoto wao,hivyo mwalimu anastahili kuheshimiwa, kuthaminiwa na kusaidiwa ili kurahisisha kazi yake ya malezi badala ya kupewa lawama zinazosababisha mwalimu kupoteza utulivu wa akili na kudhohofisha utendaji kazi wake.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa