• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mwenge wa Uhuru waridhishwa na utekelezaji wa miradi ya Serikali,watu binafsii na matumizi mazuri ya fursa.

Tarehe iliyowekwa: April 30th, 2023

Na. Lina Sanga

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 ,zimeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji makambako,ikiwa ni pamoja na miradi inayotekelezwa na Serikali na watu binafsi pamoja na matumizi mazuri ya fursa zinazotolewa na Serikali.

Kauli hiyo imetolewa leo na Kiongozi wa mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa,Ndg. Abdalla Shaibu Kaim katika ziara ya uzinduzi,ukaguzi na uwekaji wa jiwe la msingi katika miradi ya maendeleo,ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa mawili na ofisi moja shule ya msingi Mawande,Uhifadhi wa Msitu asili katika shule ya sekondari Mtimbwe,ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Ikelu,Shamba la Bi. Edda Sanga, mkulima wa mahindi aliyenufaika na pembejeo za ruzuku na jengo la hoteli la ghorofa la Bi. Benardetha Sanga na mradi wa kutengeneza chaki wa kikundi cha Youth Forum ambao ni wanufaika wa Mikopo ya asilimia 10.

Kaim, ametoa rai kwa vijana kujitokeza na kutumia fursa mbalimbali zinazotolewa na Serikali,ikiwa ni pamoja na mikopo mbalimbali inayotolewa na Serikali ili waweze kujiajiri na kuwapongeza vijana wa kikundi cha Youth kwa uthubutu wa kuanzisha kiwanda cha utengenezaji chaki na kuiagiza Halmashauri kuwatafutia soko la bidhaa hiyo ili kukuza kipato na kufanya marejesho.

Pia,ametoa rai kwa wananchi wote kutumia vyandarua kujikinga dhidi ya malaria na kuwataka kina mama wajawazito na wenye watoto chini ya miaka mitano ,waliokabidhiwa vyandarua katika mbio za mwenge kuhakikisha wanatumia vyandarua hivyo kwa lengo lililokusudiwa na kuvitunza kwani vinatokana na kodi za wananchi.

Aidha,ametoa rai kwa wataalamu wa ujenzi kuwa makini katika utunzaji wa nyaraka za miradi na kutumia taaluma zao kuondoa gharama zisizo za msingi katika manunuzi ya vifaa,kwa kununua vifaa vinavyohitajika na venye ubora kwani fedha zinazotumika katika utekelezaji wa miradi ni kodi za Watanzania.

 Mwenge wa uhuru 2023 umeongoza upandaji miti zaidi ya 500 na ugawaji wa vyandarua 100 kwa kina mama wajawazito na watoto wenye umri chini ya miaka mitano na kutembelea miradi sita yenye jumla ya 745 na kukimbizwa kilomita 50.6.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa