• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Njombe yapongeza maamuzi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kulipa fidia Bil. 15,mbolea ya ruzuku na ujenzi wa miundombinu.

Tarehe iliyowekwa: December 21st, 2023

Na. Lina Sanga

Pongezi hizo zimetolewa  na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka katika Mkutano wa Msemaji Mkuu wa Serikali na Idara ya Habari, Maelezo uliofanyika leo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe kwa lengo la kuelezea utekelezaji wa shughuli mbalimbali uliofanywa na Serikali katika  Mkoa wa Njombe na Halmashauri zake.

Mhe. Mtaka amesema maamuzi ya Rais kulipa fidia bil. 15 kwa ajili ya mradi wa liganga na mchuchuma katika Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ambao utekelezaji wake umechukua muda mrefu na ujenzi wa barabara ya zege ambayo itasaidia kumpunguzia majukumu mwekezaji ya kuboresha miundombinu na kulipa fidia wananchi.

Amesema kuwa Serikali ipo katika mchakato wa kumpata mwekezaji wa kuchimba makaa ya mawe,kujenga chemba ya kutenganisha chuma na madini yalipo kwenye chuma na, Ludewa ipo kwenye mazungumzo ya kupata mwekezaji wa pamoja kwa ajili ya ujenzi wa bandari ya kutoka Ludewa kwenda Mtwara na baada ya mradi huo kuanza kufanya kazi  utabadili uchumi wa Mkoa wa Njombe na nchi kwa ujumla.

Aidha,amepongeza jitihada za Rais za kujenga miundombinu ya elimu,Afya na barabara  ambapo katika ujenzi wa miundombinu ya elimu umepunguza kero kwa wananchi kuchangishwa fedha za ujenzi wa madarasa hasa nyakati hizi za maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza 2024.

Pia ,amepongeza uwekaji wa ruzuku kwenye mbolea ambayo kwa  wananchi Mkoa wa Njombe ina tija,kwani wananchi wa Njombe wengi wanajishugulisha na kilimo na kwa sasa  idadi ya wakulima imeongezeka.

Lakini pia, amempongeza  Mhe. Samia kwa namna ambavyo chini ya uongozi wake fedha nyingi  zinakuja kwa ajili ya utekelezaji wa miradi, na zinafanya kazi na mapungufu yanayoonekana ni ya watendaji na hatua zinachukuliwa.

Ametoa wito kwa watumishi wa Umma kuiweka Tanzania Mbele na kuzingatia uadilifu na uaminifu kwenye ofisi walizopewa kufanya kazi kwa  kutofedhehesha taaluma zao kwa vitendo mbalimbali ikiwa ni pamoja na wizi wa dawa na vitendea kazi.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa