• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Serikali kujenga soko la kisasa,stendi ya kisasa na bustani ya kitalii Halmashauri ya Mji Makambako kupitia mradi wa TACTIC

Tarehe iliyowekwa: August 11th, 2022

Na. Lina Sanga

Serikali kupitia Mradi wa TACTIC ina mpango wa  kuipendezesha Halmashauri ya Mji Makambako Kwa ujenzi wa Soko la Kisasa,Stendi ya Mabasi ya kisasa pamoja na bustani ya kisasa kwa ajili ya utalii.

Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa alipokuwa akitoa salamu kwa wakazi wa Mji wa Makambako baada ya Mbunge wa jimbo la Makambako,Mhe. Deo Kasenyenda Sanga kutoa ombi kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan juu ya ujenzi wa soko la kisasa la Makambako.

Mhe. Bashungwa amesema kuwa,Halmashauri ya Mji Makambako ni moja kati ya  Miji 48 ambayo itanufaika na  mradi wa TACTIC,ambao lengo kuu ni kupendezesha Miji kwa ujenzi wa miradi mbalimbali ya kisasa.

Ameongeza kuwa,dhamira ya Mhe. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha miundombinu na miradi inayojengwa inaendana na hali nzuri ya wananchi wa nyanda za juu kusini, ili kuwawezesha wananchi  kufanya kazi,kufungua mipaka ya nchi pamoja na kuvutia uwekezaji ili kujenga uchumi wa nchi.

Aidha, ametoa shukurani kwa Mhe. Samia kwa kuongeza bajeti ya Wakala wa barabara Vijijini na Mijini (Tarura),kwa asilimia 250 kutoka Mil.800 hadi bil. 2.8 katika bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 na agosti 14, mwaka huu Wakandarasi kwenye kila Wilaya watasaini mikataba kwa ajili ya kazi ya matengenezo ya barabara.

Pia,amemuahidi Mbunge wa jimbo la Makambako, Mhe. Sanga kuwa baada ya kukamilisha ziara ya Rais ombi lake la fedha za ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Mkolango litafanyiwa kazi,kwa kumuomba Rais afungue pochi  ili zahanati hiyo ikamilishwe.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa