• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Soko la mazao la Kiumba ni Mpango wa Halmashauri sio Wafanyabiashara,ndani ya Masaa 72 wafanyabiashara wote wa mazao wahamie Kiumba.

Tarehe iliyowekwa: December 1st, 2023

Na. Lina Sanga

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako, Kenneth Haule mara baada ya kupokea malalamiko ya wafanyabiashara wa mazao katika soko la Kiumba,kutokana na baadhi ya wafanyabiashara kukaidi agizo la kuhamia katika soko hilo.

Haule ,amesema kuwa Ujenzi wa soko la mazao la Kiumba ni moja kati ya mipango mingi ya upangaji wa Mji kutokana na Mji kukua kwa kasi,hivyo wananchi wote ndani ya Makambako wanawajibu wa kukubali na kushirikiana na Serikali katika kuboresha Mji kwa maslahi ya Wakazi wa Makambako.

Amesema kuwa, Makambako inapokea wawekezaji mbalimbali wenye nia ya kufanya uwekezaji Mkubwa hususani Viwanda,hivyo zoezi la kutenga maeneo kwa ajili ya shughuli mbalimbali ni muhimu Kutokana na Mji kukua kwa kasi hivyo wananchi wawe tayari kupokea mabadiliko kwa mtazamo chanya badala ya kuibua vikwazo visivyo na tija.

Ametoa rai kwa wafanyabiashara wa mazao ambao wamekaidi kuhamia katika soko la Kiumba na kuendelea kufanya biashara maeneo yasiyo rasmi,kuhakikisha wanahamia na kufanya  biashara zao katika Soko husika ndani ya masaa 72,kwani katika Mji wa Makambako soko la mazao ni moja tu ambalo ni soko la mazao la kiumba.

Aidha,amewataka wafanyabiashara wa mazao ambao tayari wamehamia katika soko hilo kuwa na subira,hali ya soko itatengamaa na biashara zitafanyika na watapata faida endapo wafanyabiashara wote watafanyia biashara eneo moja,Serikali inaendelea kuboresha miundombinu kuhakikisha biashara zinafanyika.

Naye, Mkuu wa polisi wa Wilaya ya Kipolisi Makambako,OCD Omary Diwani amewataka wafanyabiashara wote waliosalia katika maeneo yasiyo rasmi,kufunga biashara zao au kuhamia katika soko husika,badala ya kuwa kikwazo cha kukwamisha jitihada zinazofanya na Serikali, na  yeyote anayekaidi kuhama atahamishwa kwa lazima kwani atakuwa   tofauti na azma ya Serikali.

 

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa