• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi kwa mwaka 2020/2021.

Tarehe iliyowekwa: July 12th, 2021

Pichani ni viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Madiwani na Watendaji wa Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Makambako na Wilaya kwa ujumla katika mkutano wa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Mapinduzi 2020/2021,ambayo imewasilishwa kwenye Mkutano Mkuu wa jimbo la Makambako Katika kikao hicho kwa pamoja watendaji wote wametakiwa kusimamai fedha zinazotolewa na serikali kwaajili ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za maendeleo katika jimbo la Makambako hasa katika sekta ya elimu, afya na miundombinu ya barabara.

Akizungumza na hadhara Mbunge wa jimbo la jimbo la Makambako Deo Sanga wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Green city Makambako amesema serikali katika mwaka wa fedha 2020/2021imeendelea kutoa fedha nyingi katika miradi mbalimbli ikiweo miradi ya Maji kata ya Utengule  kata ya Kitandililo na Mahongole  pamoja na fedha kwaajili ya ujenzi wa sekondari ya kitisi. 

Ameongeza kuwa ni wajibu wa viongozi wote wa Chama ,Madiwani na watendaji wa Halmashauri kusimamia ipasavyo fedha za serikali ambazo zimepangwa kutumika katika miradi ambayo imekusudiwa kinyume na hapo basi nafasi hizo haziwatoshi. 

Akisoma taarifa mbele ya mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako, Paulo Malala amesema Halmashauri inaendelea na ujenzi wa miundombinu mbalimbali kwa sekta ya elimu ikiwemo ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shuleya sekondari Makambako, Deo Sanga,Maguvani na Mtimbwe sekondari. 

Aidha kwa changamoto mbalimbali ambazo zimeibuliwa na wajumbe katika mkutano huo hasa katika miundombinu ya barabara ,umeme kwa pamoja zimeahidiwa kufanyiwa kazi kwa wakati  hususani kwa upande wa barabara ya Maguvani Kifumbe ambapo mhandisi, Anyetili kasongo amesema kwa mwaka wa fedha 2021/2022 barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha kokoto.Wakati huo kwa kipindi cha miaka mitano mbunge wa jimbo la Makambako Deo Sanga amechangia fedha zake zaidi ya shilingi Milion Mia Tano sabini na Tano kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ya katika jimbo la Makambako ,ambapo amesisitiza suala la kujitoa kwa hali na mali katika maendeleo ya wananchi kwani ukiwa na pesa nyingi haaminishi utazikwa nazo fedha utaziacha ni vema kuweka alama katika jamii zetu tukiwa hai 




Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa