• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

TASAF imenipa uhakika wa kupata chakula,sasa njaa basi - Bi. Zabela Simangwa

Tarehe iliyowekwa: November 20th, 2022

Na. Lina Sanga

Bi. Zabela Simangwa mkulima na mfugaji katika Kijiji cha Mawande,Kata ya Utengule katika Halmashauri ya Mji Makambako ameishukuru Serikali kwa kumuwezesha kupitia fedha za Mfuko wa Maendeleo ya jamii TASAF zilizomuwezesha kufanya shughuli za kilimo cha mahindi,alizeti na ufugaji wa kuku na nguruwe.

Bi. Zabela amesema kuwa,mwaka 2015 kupitia mpango wa TASAF wa kunusuru kaya masikini alifanikiwa kupata shilingi 20,000 ambazo hutolewa kila baada ya miezi 2,na zinamuwezesha kuweka akiba katika kikundi cha maendeleo cha TASAF na kufanikiwa kununua bati na mbao na kuezeka nyumba yake iliyokuwa ya nyasi aliyoijenga mwaka 1998.

Amesema kuwa,mwaka 2017 kupitia TASAF alipewa mradi wa kufuga nguruwe na alikabidhiwa nguruwe jike na dume,ambazo zilimuwezesha kuongeza kipato kwa kuuza vitoto na kukodisha nguruwe dume wa kupandikiza na kupewa kitoto kimoja kwa kila nguruwe aliyepandwa na nguruwe wake.

“Nilikodisha nguruwe dume kwa watu sita kwa ajili ya upandikizaji na baada ya nguruwe hao kuzaa nilipata jumla ya vitoto sita ambavyo niliuza vitano kwa shilingi 50,000 na nguruwe mkubwa nilimuuza kwa shilingi laki 280,000 na kubakiza dume moja kwa ajili ya mbegu,kwa sasa nina nguruwe majike mawili na dume moja”,alisema Bi. Zabela.

Kwa upande wa kilimo,Bi. Zabela amesema kuwa amefanikiwa kulima shamba ekari 2.5 ambapo ekari 1.5 analima mahindi na ekari 1 analima zao la alizeti,hivyo ana uhakika wa chakula kwa msimu wote tofauti na zamani chakula kilipatikana kwa shida,na  kwa sasa anatarajia  jitihada  kukarabati nyumba,kujenga choo cha kisasa na tayari nimeanza maandalizi.

Katika kijiji cha Mawande kuna jumla ya vikundi vinne vya Maendeleo vya kuweka na kukopa vya wananufaika wa Mfuko wa Maendeleo wa TASAF, ambavyo kwa nafasi kubwa vimewawezesha wanufaika wengi kuinuka kiuchumi na kubadilisha maisha yao.



Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023-Halmashauri ya Mji Makambako. December 14, 2022
  • Tangazo la ajira Halmashauri ya Mji Makambako Juni,2022 June 28, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Wasimamizi, Maafisa TEHAMA na Makarani wa Zoezi la Sensa, Makambako TC July 18, 2022
  • Matokeo ya usaili wa mahojiano kwa nafasi ya Mtekinolojia dawa daraja II November 25, 2022
  • Fungua

Habari Mpya

  • Miche 20,000 ya parachichi kutolewa kwa wanufaika wa TASAF - Halmashauri ya Mji Makambako.

    January 24, 2023
  • Halmashauri ya Mji Makambako yatoa mil. 76 mikopo ya 10% kwa vikundi 12 vya wanawake na vijana na watu 8 wenye ulemavu.

    January 23, 2023
  • Wilaya ya Njombe kukusanya mapato 100% ifikapo Juni,2023.

    January 23, 2023
  • Viongozi wa Vikundi vya Wanawake na Vijana tunzeni uaminifu wenu.

    January 23, 2023
  • Fungua

Video

TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Tuitumie kwa Usahihi na Uwajibikaji . Makambako TC, 2021
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa