• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ugawaji wa taulo za kike kuelekea Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025

Tarehe iliyowekwa: March 5th, 2025

Ili kuhakikisha watoto wa kike wanakuwa salama na kusoma katika mazingira salama, wanajitambua na wanapata elimu sahihi kuhusu afya ya uzazi na haki zao za msingi, Halmashauri ya Mji Makambako leo kupitia divisheni ya maendeleo ya jamii kwa kushirikiana na wananchi,kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake ngazi ya Halmashauri imetoa taulo za kike kwa wanafunzi wa Shule ya sekondari Mtimbwe,iliyopo Kata ya Utengule pamoja na kutoa elimu juu ya kujijali, kujitambua, kujikubali na kujiamini ili kufikia malengo.

Akizungumza na wanafunzi hao Mkuu wa divisheni ya Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Mji Makambako, Bi. Lilian Mwelupungwi amewataka wasichana kutambua thamani yao, na kuhakikisha wanajilinda kiafya na kuhudhuria masomo bila kikwazo chochote.

Afisa Ustawi wa Jamii,Bi. Maria Mkude alipata nafasi ya kutoa elimu juu ya kujijali, kujitambua, kujikubali na kujiamini ,huku akisisitiza umuhimu wa wasichana kuwa na uthubutu wa kujilinda na kutokubali kushawishiwa na watu wanaoweza kuharibu mustakabali wao, kwani Kujitambua ni msingi wa mafanikio. 

Naye, Afisa Maendeleo ya Jamii, dawati la msaada wa kisheria,Bi. Amina Ally, ametoa wito kwa wanafunzi kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia na kuikumbusha jamii kuwa, ina wajibu wa kuhakikisha watoto wa kike wanalindwa dhidi ya changamoto zinazoweza kuwakatisha masomo.

Kwa niaba ya walimu wote na uongozi wa shule ya sekondari Mtimbwe, Mwl. Mwangolombe wa Mtimbwe Sekondari ameishukuru Halmashauri ya Mji Makambako pamoja na wanawake wote, kwa kutoa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule hiyo, ambazo zitasaidia kupunguza changamoto wanazokutana nazo wasichana kipindi cha hedhi, hivyo kuwawezesha kuhudhuria masomo bila kikwazo.

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ngazi ya Halmashauri yatafanyika kesho Machi 6,2025 katika Uwanja wa Polisi na Kilele cha maadhimisho hayo yatafanyika Kijiji cha Bulongwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Makete Machi 8,2025.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa