• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

UPOKEAJI WA MWENGE WA UHURU MAKAMBAKO

Tarehe iliyowekwa: September 15th, 2019

Mwenge wa uhuru ulipokelewa katika halmashauri ya mji wa Makambako mnamo tarehe 15 Septemba 2019.Mwenge huo ulifanikiwa kumulika miradi mitano(5) ya maendeleo na kuifungua

Miradi hiyo ni kama ifuatavyo:

1.UJENZI WA MAJENGO 7 YA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO.

Hospitali hiyo ina hadhi ya hospitali ya wilaya ambayo itakuwa ikiwahudumia wananchi zaidi ya 100,000 wa ndani na nje ya halmashauri ya mji wa Makambako.

Ujenzi huo ni miongoni mwa miradi 67 ya hospitali za wilaya unaoendelea nchi nzima.


2.UJENZI WA VYUMBA VIWILI VYA MADARASA NA CHUMBA KIMOJA CHA OFISI KATIKA SHULE YA MSINGI IDOFI.

Mradi huu umegharimu Jumla ya sh.37,980,000/= kwa ushirikiano wa wananchi,mbunge na serikali

kwa mchanganuo ufuatao

a)Ruzuku toka Serikali kuu (EP4R) Awamu ya kwanza mwaka 2017 Tshs. 1,000,000.00

b)Ruzuku toka Serikali kuu (EP4R)  Awamu ya pili mwaka 2019 Tshs. 25,000,000.00

c)Mhe. Mbunge Deo sanga     Tshs. 300,000.00                                            

d)Mhe. Diwani Festo Mwalongo    Tshs. 120,000.00

e)Nguvu za Wananchi             Tshs. 10,780,000.00

f)Mfuko wa Jimbo                Tshs. 780,000.00


3.UJENZI WA VYUMBA 2 VYA MADARASA, OFISI MOJA YA WALIMU NA MATUNDU 8 YA VYOO SHULE YA SEKONDARI LYAMKENA

Mradi wa Ujenzi vyumba 2 vya Madarasa,Ofisi 1 ya walimu  na matundu 8 ya vyoo Shule ya Sekondari Lyamkena unatekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

Mfuko wa TASAF Kitaifa unalenga kupunguza umasikini katika jamii. Kwa sasa Mradi wa Kupunguza umasikini katika Nchi yetu unatekelezwa chini ya Programu ya OPEC III.

Aidha, mradi huu pia umejikita katika kuboresha huduma za jamii katika Sekta za Elimu na Afya mahali palipo na upungufu


4.MRADI WA KIWANDA CHA KUKUNJA BATI (HEROCEAN ENTERPRISES (T) LTD AINA YA DRAGON

Madhumuni  ya  kuanzishwa kiwanda hiki cha kukunja  bati ni kutekeleza azma ya uchumi wa kati wa viwanda kwa ajili ya kukuza uchumi na kuongeza kipato kwa wananchi na kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu ifikapo 2030  


5.MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UPASUAJI MDOGO KATIKA HOSPITALI YA MT. JOSEPH IKELU

Malengo ya mradi huu wa ujenzi wa jengo hili  huduma ya upasuaji mdogo ulibuniwa kutokana na uhaba mkubwa vyumba vya kutolea huduma hii pamoja na huduma  ya dharura  kabla mgonjwa hajapelekwa wodini kupata huduma zaidi.

Miradi yote ilipitishwa na kufunguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Ndugu Mzee Mkongea Ally na kusifia kazi nzuri inayofanywa na halmashauri ya mji wa makambako chini ya mwenyekiti Mh.Chesko Hanana Mfikwa na Mkurugenzi Ndugu Paulo Malala katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa