• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

VIKOMBE UMITASHUMTA 2021,MAKAMBAKO.

Tarehe iliyowekwa: June 2nd, 2021


Pichani ni vikombe sita (6) ambavyo Shule za Msingi Halmashauri ya Mji wa Makambako zimepata Katika zoezi zima la Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) kwa Ngazi ya MKoa wa Njombe,Mashindano hayo yalianza katika shule ya Msingi Makambako kwa kata zote zinazounda Halmashauri ya Mji wa Makambako na kufanya zoezi la upembuzi wa Wanafunzi wa kuiwakilisha Halmashauri ya Mji wa Makambako kwa ngazi ya Mkoa,Zoezi ambalo lilifanikiwa kupata Wanafunzi ambao waliibeba bendera ya Halmashauri ya Mji wa Makambako kwaajili ya kwenda kushindana kwa ngazi ya Mkoa.

Katika picha ni wafanyakazi na Wanafunzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako pamoja na vikombe ambavyo wamevipata katika UMITASHAMTA 2021 kwa ngazi ya Mkoa wa Njombe ambapo katika zoezi hilo Halmashauri ya Mji wa Makambako imefanikiwa kupeleka Wanafunzi Ishirini na Moja  wa UMITASHUMTA Kwa ngazi ya Taifa huko Mkoani Mtwara ambako mashindano hayo yanafanyika kwa Mwaka huu.Katika picha ni Wanafunzi wakionesha ni namna gani wamepata vikombe sita na kuwa washindi kwa Halmashauri zote za Mkoa Wa Njombe,Mnamo tarehe moja June Wanafunzi hao katika Halmashauri ya Mji wa Makambako walipata wasaa wa kutumbuiza Michezo yao mbele ya kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambo ni kwa jinsi gani walifanikiwa kuibuka washindi,Je yaliyomo yamo?,kama wanavoonekana na Mavazi yao ya kitamaduni katika Picha,Wanafunzi hao wameonyesha machache ambayo yamefanya wao kuibuka washindi wa vikombe sita ,Na moja ya mchezo ambao ulioneshwa ni Ngoma ya asili ya kabila la Wabena inayoitwa ''Yuheyo.''


Akipokea vikombe hivyo Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mji wa Makambako Rashidi Njozi,Amesema ni jambo la kujivunia kwa ushindi mkubwa hasa kwa Walimu na Maafisa Utamaduni na Michezo waliojitoa kwa hali na mali kwaajili ya kuwafundisha watoto na kuwaanda kwaajili ya UMITASHUMTA 2021 "Ni seme tu ukweli waliowaandaa watoto wamejitahidi sana sio kazi Rahisi kuvitwaa vikombe sita peke yetu na kuziacha mbali Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe kwakweli mmetuwakilisha na mmeiwakilisha Halamshauri yetu kwa Moyo wote  ,Nawapongeza sana alisema Njozi".Ameongeza kuwa kwa waliotoka katika Halmashauri yetu kwaajili ya kwenda UMITASHUMTA Kitaifa huko Mkoani Mtwara ni imani kubwa watafanya vizuri kutokana na maandalizi waliyopata kwa walimu pamoja na maafisa Tamaduni na Michezo tuwaombee kheri katika Mashindano hayo.


Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa