• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Viongozi wa Serikali na Chama hakikisheni zoezi la Sensa linakamilika ndani ya Muda uliopangwa -DC Kissa Gwakisa Kasongwa.

Tarehe iliyowekwa: August 20th, 2022


Na. Lina Sanga

Viongozi wa Serikali na chama Wilaya ya Njombe wametakiwa kushiriki na kusimamia zoezi la Sensa kukamilika ndani ya Muda uliopangwa ili kuijengea heshima Wilaya na Mkoa wa Njombe kwa ujumla.

Wito huo umetolewa leo  na Mkuu wa Wilaya ya Njombe,Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa  katika mkutano wa Viongozi wa chama, Madiwani, Wakuu wa idara na vitengo pamoja na Watendaji wa Kata na Mitaa wa Halmashauri ya Mji Makambako.

Mhe. Kissa amesema kuwa,Ili kuunga mkono juhudi za  Mhe. Samia Suluhu Hassani,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Serikali  ya awamu ya sita anayoiongoza,kila kiongozi katika wilaya ya Njombe kwa nafasi yake hana budi kuhakikisha zoezi la Sensa linafanikiwa kwa ufanisi ndani ha Muda uliopangwa.

Amesema kuwa kukosekana kwa posho si kigezo cha kiongozi yeyote kususia zoezi,kwani kwa kufanya hivyo ni kukwamisha utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi na kuisababishia Serikali hasara kwa kukosa takwimu sahihi za watu kwa ajili ya Maendeleo.

Ametoa wito kwa Wenyeviti wa Mitaa na Mabalozi kuhakikisha wananchi katika maeneo yao,wanaandaa taarifa zote muhimu zinazohitajika ili kuwarahisishia makarani kufanya kazi kwa muda mfupi kwa kila kaya.

Baadhi ya taarifa zinazohitajika ni pamoja na majina kamili ya kila mwana kaya,jinsia yake,umri,hali ya ndoa,nyaraka mbalimbali kama namba ya NIDA au kitambulisho cha NIDA,vyeti vya kuzaliwa ,bima za afya, kitambulisho cha mpiga kura,taarifa za elimu,taarifa za hali ya afya,taarifa za jmiliki wa ardhi,majengo,vifaa/rasilimali,taarifa za shughuli za kiuchumi na taarifa za vizazi na vifo katika kaya.

#Jiandaekuhesabiwa2022

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa