• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Walimu ruksa kufundisha twisheni.

Tarehe iliyowekwa: September 12th, 2022

Na. Lina Sanga

Mkuu wa Mkoa wa Njombe,Mhe. Anthony Mtaka amewaruhusu walimu ndani ya Mkoa wa Njombe, kufungua vituo vya twisheni ili kufundisha wanafunzi baada ya muda wa kazi badala ya kutumia muda huo kwenye vilabu vya pombe na kuendekeza ulevi.

Mhe. Mtaka ametoa ruhusa hiyo leo katika kikao cha uzinduzi wa mwongozo wa vitabu vitatu vya elimu,uliofanyika Shule ya Sekondari Mpechi na kuwataka walimu kuhakikisha wanautumia vizuri muda wa masaa za kazi na watoro watashughulikiwa.

Amesema kuwa daktari anamiliki duka la dawa, zahanati na anahudumia hospitali zaidi ya tatu,mwalimu haruhusiwi kufungua kituo cha kufundishia masaa ya ziada kwa madai hatafundisha vizuri darasani,kitu ambacho sio kweli.

"Mimi sijali wewe una masaa ya wewe na mimi  fanya kazi kwa uaminifu baada ya muda wa kazi kuisha utawala binafsi,mwalimu mtoro nitajua jinsi ya kushughulika nae,darasa la saba wanamaliza shule mwezi ujao weka bango ya kufundisha masomo ya sekondari wazazi walipie watoto wasome na wewe ujiongezee kipato,sio kila siku tunaona mabango ya nguvu za kiume mara kusafisha nyota,punguzeni msongo wa mawazo kwani nikikuona baa saa kumi nitakuuliza?,badala ya kukaa kwenye pombe si ufundishe QT?"amesema Mhe. Mtaka.

Ameongeza kuwa walimu wa Mkoa wa Njombe watembee kifua mbele kwani amewaruhusu kufanya kila kitu kwa kufuata sheria,kwani kazi ya ualimu ni haiba na ili kuitunza hawana budi kuanzisha miradi mbalimbali ili kujiongezea kipato na kuachana na mikopo umiza ambayo inawadharirisha wao na taaluma yao.

Ametoa wito kwa wakuu wa shule na walimu wakuu kuwafukuza watu wanaofika shuleni,kwa madai ya kukopesha walimu fedha kwani walimu wengi wanaishi maisha magumu kwa sababu ya mikopo umiza inayokopeshwa mitaani.

Amewataka walimu wote ndani ya Mkoa wa Njombe kutokuwa wepesi wa kukopa mitaani kwenye saccos zinazoanzishwa na watu mitaani na kama wanashindwa wamjulishe ili awatafutie benki nzuri wapate mikopo na kujikwamua kiuchumi.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa