• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Wananchi watakiwa kushiriki bonanza jumuishi la watoto wenye mahitaji maalum.

Tarehe iliyowekwa: December 6th, 2023

Na. Lina Sanga

Rai hiyo imetolewa na Mhe. Mario Kihombo,diwani wa Kata ya Mahongole ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya huduma za jamii ya Halmashauri ya Mji Makambako,katika bonanza jumuishi la kitaaluma,michezo na sanaa kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum,lililofanyika jana katika shule ya Msingi Idofi.

Mhe. Kihombo amesema kuwa,ushiriki wa wananchi ikiwa ni pamoja na wazazi na walezi wa watoto wenye mahitaji maalum , ni chachu katika  kampeni ya kupinga na kutokomeza tabia ya baadhi ya wazazi wanao wafungia watoto wenye ulemavu ndani,kwa kuamini hawana uwezo wa kufanya jambo lolote ikiwa ni pamoja na kuwasomesha.

“Watoto hawa wana uwezo mkubwa wa kujifunza na kuongeza ujuzi katika taaluma, michezo na sanaa,sisi wote tuliopo hapa tumeshuhudia mambo mengi wanayojifunza,tumeona kazi za sanaa walizotengeneza pamoja na ushiriki wao katika michezo mbalimbali,maigizo,uimbaji na masomo ya darasani,haya yote ni kiashiria kikubwa kuwa hali ya ulemavu si kikwazo cha watoto wetu kusoma na kujifunza mambo mbalimbali kwani elimu ni haki ya kila mtu”,alisema Mhe. Kihombo.

Ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha zaidi ya Mil. 275 za ujenzi wa mabweni ya kisasa kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum, katika shule ya msingi Idofi na kuwawezesha watoto hao kupata muda zaidi wa kujisomea.

Naye, Bw. Sevelini Mhiliwa,mwenyekiti wa kamati ya shule ya msingi Idofi ameishukuru Serikali kwa kutekeleza ujenzi wa mabweni ya watoto wenye mahitaji maalumu,ambayo yamewezesha watoto kutoka maeneo mbalimbali kusoma katika shule hiyo na kuongeza hadhi ya Mtaa wa Idofi kwa wageni na viongozi mbalimbali kufika katika shule hiyo.

Ametoa wito kwa wazazi na wakazi wa Idofi kutumia fursa ya uwepo wa mabweni hayo kuwafichua watoto wenye mahitaji maalum wanaofichwa ndani ,pamoja na wazazi wanaowataka watoto wao kujifelisha makusudi kwa madai ya kutokuwa na fedha za kuwasomesha , licha ya Serikali kuendelea kuwekeza  fedha nyingi za ujenzi wa miundombinu ya elimu ikiwa ni pamoja na madarasa.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa