• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Wanawake watakiwa kuongeza jitihada kujiletea maendeleo na kumuwezesha binti wa kike ndani ya familia.

Tarehe iliyowekwa: March 7th, 2025

Na .Tanessa Lyimo

Wanawake wametakiwa kuendelea kuongeza jitihada za kujiletea maendeleo , wakati Serikali ikifanya juhudi za kutengeneza fursa kwa ajili ya wananchi na kuwa na udhubutu wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, hususani katika Uchaguzi Mkuu unaotarijia kufanyika Oktoba 2025.

Wito huo ulitolewa jana na Mhe. Rosemary Lwiva,diwani wa Kata ya Majengo akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Juma Sweda ambaye alikuwa Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025, ngazi ya Halmashauri ya Mji Makambako, yaliyofanyika katika uwanja wa polisi, katika Kata ya Mwembetogwa.

Mhe. Lwiva amewapongeza wanawake waliojikwamua kiuchumi kwa kupitia mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri  na kuwataka wengine kujitokeza pindi mikopo hiyo itakapotolewa, pamoja na  kuwasisitiza wanawake kutumia fursa za elimu zinazotolewa na jamii  kuleta mageuzi katika nyanja mbalimbali za maendeleo.


Aidha, amewataka wanaume kutoa ushirikiano pale wanawake wanapokumbana na mabadiliko mbalimbali siyo tu ya kijamii , bali hata kiafya,kama vile ukomo wa hedhi  na kumfanya kutotimiza baadhi ya majukumu katika familia.

Pia ,ametoa wito kwa jamii kuendeleza mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia na kuwataka wanawake kuendelea kujifunza elimu ya haki na usawa katika jamii ,ili kutokomeza dhana potofu zinazoikumba jamii na kujua utaratibu sahihi wa kupata haki zao.


Naye, Mwenyekiti (UWT) Wilaya  ya Njombe (CCM), Bi. Beatrice Malekela ameikumbusha jamii kutomsahau na kutomwacha nyuma  binti wa kike  katika maswala ya uwezeshaji kiuchumi na usawa, kwani uwezeshaji wa mtoto wa kike unaanzia katika ngazi ya familia.

Kilele cha Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 ngazi ya Mkoa wa Njombe yatafanyika Halmashauri ya Wilaya ya Makete,machi 8,2025.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa