• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Watumishi wa Afya wanaopotosha takwimu za VVU na Lishe nchini,kuchukuliwa hatua.

Tarehe iliyowekwa: July 1st, 2024

Na. Lina Sanga

Mkurugenzi wa huduma za afya, Lishe na Ustawi wa Jamii katoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) , Dkt. Rashid Mfaume amewataka watumishi wa divisheni za Afya nchini,kutokughushi takwimu za watu wanaoishi na maambukizi ya VVU na utekelezaji wa mikataba ya Lishe,kwani kupitia takwimu hizo wanaisababisha Serikali kupanga mipango ambayo si halisia.

Dr. Mfaume alitoa wito huo jana wakati akizungumza na watumishi wa sekta ya Afya katika Halmashauri ya Mji Makambako baada ya kukagua hali ya miundombinu,nyaraka na utendaji kazi kwa ujumla, katika kituo cha Afya Lyamkena,Hospitali ya Mji ya Makambako(Mlowa) na kituo cha Afya cha Makambako.

Dr. Mfaume amesema kuwa,baadhi ya watumishi wanajihusisha na udanganyifu wa  takwimu kwa sababu ya kuahidiwa posho ambayo hutolewa baada ya kupatikana kwa watu wenye maambukizi na  kuwatahadharisha kuacha vitendo vya upotoshaji wa takwimu hizo kwani sheria kali zitachukuliwa kwa watakaobainika kujihusisha na vitendo hivyo.

Aidha, ametoa rai kwa Maafisa Lishe wote nchini kutofanya udanganyifu wa takwimu kwenye taarifa ya utekelezaji wa mikataba ya lishe kwenye kadi alama, ili kupata rangi ya kijani kwenye mfumo wa lishe,kwani kwa kufanya hivyo wanaipotosha  Serikali kupanga mipango ambayo si halisia ya utekelezaji wa afua na viashiria vya lishe .

Ametoa onyo kwa watumishi wote wenye tabia ya kufanya udanganyifu kwenye takwimu kuacha mara moja , na badala yake watoe  takwimu sahihi kulingana na uhalisia ili Serikali itoe msaada endapo utekelezaji ni hafifu.

Aidha,ameipongeza Halmashauri ya Mji Makambako kwa utekelezaji mzuri wa ujenzi wa miundombinu ya Afya na Kumpongeza Dkt. David Ng'umbi anayetoa huduma katika jengo la dharura (EMD) kwa ubobezi wa utoaji wa huduma za dharura.

Pia,amewataka wakaguzi wa ndani wote nchini kutoa mrejesho wa ukaguzi walioufanya kwa taasisi husika na kutokufanya ukaguzi pekee yao.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa