• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Wazazi na walezi ni kikwazo cha watoto kujiunga MEMKWA

Tarehe iliyowekwa: September 8th, 2022


Na. Lina Sanga

Uelewa mdogo wa wazazi na walezi kuhusu umuhimu wa elimu kupitia Mpango wa Elimu  ya Msingi  Kwa Waliokosa (MEMKWA),ni kikwazo kikubwa cha watoto waliokosa elimu kwa mfumo rasmi kujiunga na MEMKWA.

Hayo yameelezwa na mwalimu wa MEMKWA shule ya Msingi Juhudi,Mwl Rose Mhema katika maadhimisho ya wiki la elimu ya watu wazima,yaliyofanyika  leo katika viwanja vya shule ya msingi Kahawa katika Halmashauri ya Mji Makambako.

Mwl.Mhema amebainisha kuwa kutokana na mwamko hasi wa wazazi na walezi juu ya kuwasomesha watoto walikosa elimu kwa mfumo rasmi kujiunga na MEMKWA, imepelekea watoto kufanya maamuzi ya kujiandikisha bila ridhaa ya wazazi na kukosa vifaa vya kujifunzia.

“Mtoto mwenye miaka kumi ambaye  amekosa elimu kwa mfumo rasmi,wazazi hawaoni umuhimu wa kuwaandikisha elimu ya MEMKWA hali inayosababisha watoto kujileta shuleni wenyewe,wanapofika shuleni walimu wanawapokea lakini wanakabiliwa na changamoto ya kukosa vifaa vya kujifunzia,kutokana na wazazi kutoona umuhimu wa kuwasomesha watoto wao,hivyo walimu wanalazimika kuwanunulia vifaa ili kuwasaidia kuanza masomo yao”,alisema Mwl. Mhema.

Aidha amesema kuwa,licha ya mwamko hasi wa wazazi na walezi kumekuwa na mafanikio makubwa kupitia MEMKWA, kwani idadi ya watoto wasio  jua  kusoma na kuandika imepungua,na wanafunzi wengi wamefanikiwa kujiunga na masomo ya sekondari hadi vyuo.

Ametoa wito kwa Serikali kupitia ofisi ya Mkurugenzi kuwapunguzia majukumu walimu wa MEMKWA,kwani wana kazi nyingi tofauti na walimu wa elimu rasmi.

Mpango wa Elimu  ya Msingi  Kwa Waliokosa (MEMKWA) ulianzishwa rasmi mwaka 2003,kwa lengo la kuwawezesha watoto wote kuanzia miaka tisa hadi kumi na nane  ambao hawakupata nafasi ya kujiunga darasa la kwanza katika mfumo rasmi kutokana na changamoto mbalimbali kupata elimu.

Halmashauri ya Mji makambako ina jumla ya vituo kumi vya MEMKWA, ambavyo ni shule ya msingi Lyamkena,Makambako,Kifumbe,Juhudi,Ikwete, Mtanga,Majengo,Kilimahewa,Magegele na Mludza.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa