• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Waziri wa Nchi,ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama aipongeza TASAF Halmashauri ya Mji Makambako kwa utekelezaji wa miradi na maagizo ya Rais.  

Tarehe iliyowekwa: November 15th, 2022

Na. Lina Sanga

Waziri wa Nchi,ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama ameipongeza halmashauri ya mji makambako kwa kufikia asilimia 95 ya kufanya malipo kwa kutumia mifumo ya malipo ya fedha ya Serikali kwa wanufaika wa TASAF pamoja na Ujenzi wa miradi wenye viwango.

Mhe. Jenista ametoa pongezi hizo leo katika kijiji cha Ikelu, kata ya Utengule alipofanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha ikelu na ujenzi wa nyumba pacha za watumishi wa kituo hicho iliyojengwa   kwa fedha za Tasaf.

Amesema kuwa malipo ya fedha kupitia mifumo ya Serikali ni maelekezo ya mheshimiwa Rais,ili kuhakikisha usalama wa matumizi ya fedha za Serikali na wanufaika wote kupata fedha kwa wakati.

Ameiagiza TASAF makao makuu kuhakikisha wanaongeza juhudi na kuimarisha  mifumo yake pamoja na kusimamia zoezi la malipo ya fedha kwenda kwa walengwa kitaifa  linafanyika,ili kiwango cha utekelezaji kiongezeke kutoka  asilimia ishirini zilizopo sasa  na walengwa wapate fedha zao kwa wakati na usalama.

Pia,ametoa wito kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako kuhakikisha mikopo ya asilimia kumi inayotolewa kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu zinawafikia  walengwa wa TASAF kupitia  vikundi vyao vya maendeleo vya TASAF, pamoja na kuwatambua watoto wanaotoka kaya masikini wanaohitimu elimu ya msingi na Sekondari na kushindwa kuendelea na masomo ya vyuo ili kuwapatia nafasi ya kujiunga vyuo vya kati (VETA) kwa  kusomeshwa bure na Serikali.

Aidha,amewapongeza wananchi wa Kata ya Utengule kwa uzalendo wa kuchangia  zaidi ya Mil 16. 7 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba ya  watumishi,na kuwata wananchi wote nchini kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kuchangia shughuli za maendeleo katika maeneo yao.

Ametoa  wito kwa kaya masikini ambazo zinanufaika na TASAF kutumia fedha wanazopata vizuri na kuzalisha,kwani matarajio ya Serikali ni kuziwezesha kaya hizo kuweza kusimama vizuri na kuweza kujitegemea ili Serikali ipate nafasi ya kuzisaidia kaya nyingine.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa