• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura kuzinduliwa rasmi julai mosi,2024 Mkoani Kigoma.

Tarehe iliyowekwa: June 15th, 2024

Na. Lina Sanga

Dar es salaam

Taarifa hiyo imetolewa na Bw. Ramadhani Kailima, Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi leo,katika kikao kazi na Maafisa habari wa Mikoa na Halmashauri nchini, kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Mlimani city ili kuwajengea uwezo maafisa hao ,kuongeza hamasa ili kufanikisha zoezi la uandikishaji na uchaguzi kwa ujumla.

Kailima amesema kuwa, maafisa habari wana majukumu makuu mawili ya kuwakumbusha na kuwahamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha,kanuni za uboreshaji  wa daftari la wapiga kura na kupinga upotoshaji unaofanyika kuhusu  zoezi hilo kwa kutoa taarifa sahihi ili kujibu hoja mbalimbali za wananchi.

Bi. Giveness Aswile, Mkurugenzi wa idara ya habari na elimu ya Mpiga kura wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,amesema kuwa jumla ya wapiga kura wapya zaidi ya  mil. 5.6 wataandikishwa ikiwa ni sawa na asilimia 18.7 ya wapiga kura mil. 29.8 waliopo  kwenye daftari baada ya uboreshaji uliofanyika mwaka 2019/2020 na inakadiriwa kuwa  wapiga kura kufikia mil. 34.7 baada ya uboreshaji wa mwaka huu.

Ametaja sifa za wapiga kura kuwa ni  waliofikisha miaka 18 na kuendelea na wataotimiza umri huo ifikapo tarehe ya uchaguzi mkuu mwaka 2025 pamoja na wapiga kura waliohama Kata na Jimbo walilojiandikishia awali,wanaorekebisha taarifa na waliopoteza kadi zao.

Ameongeza kuwa jumla ya wapiga kura 594,494 wanatarajiwa kufutwa kwenye daftari la wapiga kura kwa kukosa sifa za kuendelea kuwepo kwenye daftari hilo ikiwa ni pamoja na waliofariki.

Ametoa rai kwa wananchi kutanguliza maslahi ya Taifa mbele kwa kutojiandikisha kwa ajili ya kupata kadi mpya, ambayo haina shida yoyote kwani utengenezaji wa kadi hizo ni gharama kubwa.

Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Kassim na kauli mbiu ya zoezi hilo ni "Kujiandikisha kuwa mpiga kura ni Msingi wa Uchaguzi bora".

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa