Tarehe iliyowekwa: June 16th, 2024
Na. Lina Sanga
Leo Juni 16, Mwenge wa uhuru umepokelewa katika mkoa wa Njombe kupitia lango la wilaya ya Ludewa - Shule ya sekondari Mavanga.
Katika Mkoa wa Njombe Mwenge wa Uhuru utapitia jumla...
Tarehe iliyowekwa: June 15th, 2024
Na. Lina Sanga
Dar es salaam
Taarifa hiyo imetolewa na Bw. Ramadhani Kailima, Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi leo,katika kikao kazi na Maafisa habari wa Mikoa na Halmashauri nchini,...
Tarehe iliyowekwa: May 30th, 2024
Na. Lina Sanga
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako, Kenneth Haule amewataka wananchi wote ambao maeneo yao hayajapimwa, kuunga mkono jitihada za Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa jamhuri...