• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Amani ni Maendeleo- Mch. Hananja

Tarehe iliyowekwa: July 29th, 2022

 Na. Lina Sanga

Njombe

Kauli hiyo imetolewa na Mchungaji Richard Hananja,Katika Kongamano la kuiombea Nchi ya Tanzania  na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan,lililofanyika leo Mkoani hapa.

Hananja amesema kuwa amani ni bidhaa adimu,ustawi na utengemeno na mahali ambapo hakuna amani basi hakuna utengamano wala ustawi hata katika familia endapo amani imekosekana basi ustawi wa familia hautakuwepo.

Amesema kuwa katika nchi hii kila mtu ana nafasi yake,nafasi ya viongozi wa dini ni kuitakia amani nchi,ili nchi iendelee kustawi hivyo maombi ya leo ni kwa ajili ya ustawi wa nchi kwani amani ni maendeleo.

Ameongeza kuwa Tanzania ni ya watanzania wenyewe hivyo kuiombea nchi amani ni jukumu la kila mtanzania,ili Mungu aendelee kudumisha amani katika nchi kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya Nchi.

“Katika ziara ya jana ya Mkuu wa Mkoa ya kutembelea miradi tumeona miradi mikubwa nay a kupendeza,kama barabara ya zege ambayo mimi binafsi sijawahi  kuiona tangu nizaliwe hadi nilitamani nilale niibusu barabara ile  kabla sijafa,tukaona kiwanda cha parachichi na kiwanda cha dawa,tumeona mambo makubwa katika Nchi hii Serikali inaweza kunyamaza lakini kuna mambo makubwa yanafanyika na Mama Samia Suluhu Hassan”,alisema Mch. Hananja.

Ametoa wito kwa wananchi wote pamoja na Viongozi kusimama katika nafasi zao na kuiombea amani Nchi kwani kuna nchi zina kila kitu lakini hawana amani na watu wanaondoka na kuhama nchi zao hivyo amani ni maendeleo.

Naye Shekhe Hilal Makarani (shekhe Kipozeo),amewausia watanzania kudumisha amani na upendo bila kujali kabila wala dini,muislamu ampende mkristo,mkristo ampende muislamu,mmakonde ampende mndengeleko ili kuishi kwa amani na iwe rahisi kupata maendeleo.

  

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa