• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Hundi yenye thamani ya Mil.216.7 yakabidhiwa kwa vikundi 19 vya wanawake , Vijana na watu wenye Ulemavu

Tarehe iliyowekwa: February 3rd, 2026

Na.Tanessa Lyimo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako Mhe.Salum  Mlumbe amekabidhi hundi yenye thamani ya Mil.216.7 kwa vikundi 19 vya wanawake , Vijana na watu wenye Ulemavu ikiwa ni mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Mji Makambako.

Mhe. Mlumbe akimwakilisha mgeni rasmi Mbunge wa Jimbo la Makambako Mhe.Daniel Geofrey Chongolo katika  hafla  iliyofanyika leo katika ukumbi wa ofisi ya Kata ya Lyamkena amewataka wanufaika kuzingatia matumizi sahihi ya fedha hizo, kama ilivyokusudiwa huku akiwasisitiza urejeshwaji wa mikopo hiyo kwa wakati ifikapo muda wa marejesho ili iweze  kuwanufaisha wakopaji wengine.


Pia, amewataka wale waliokosa mkopo wa Halmashauri kuendelea kujitokeza katika taasisi za fedha ambazo Serikali imetoa mwangaza wa mikopo yenye riba nafuu ikishirikiana na taasisi hizo ikiwa ni pamoja na Benki ya NMB.

Ametoa wito kwa watu wenye ulemavu kujitokeza kwa wingi pindi fursa za mikopo zitakapojitokeza kwani mikopo hiyo ni ya jamii yoyote lengo ikiwa ni kumnyanyua mwananchi mmoja moja  katika kukuwa na kumnufaisha  kiuchumi.


Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na diwani wa Kata ya Mwembetogwa Mhe.Robert Hamis Shejamabu amewapongeza wanufaika kwa kujitokeza kuomba mikopo hiyo, huku akiwataka kuwa waaminifu na kutoruhusu hali ya ufatiliaji usio wa lazima pindi muda wa urejeshwaji wa mkopo utakapofika.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Mapokezi ya ajira mpya januari 2026 January 25, 2026
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Hundi yenye thamani ya Mil.216.7 yakabidhiwa kwa vikundi 19 vya wanawake , Vijana na watu wenye Ulemavu

    February 03, 2026
  • Baraza la Madiwani lamshukuru Rais Samia kwa fedha za miradi na Mbunge kwa kutekeleza shughuli za maendeleo

    January 30, 2026
  • Wananchi wa Makambako watakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti kupunguza athari za upepo mkali

    January 30, 2026
  • Fungeni mita za maji za luku kumaliza malalamiko ya wananchi kuzidishiwa bili

    January 27, 2026
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa