• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Baraza la madiwani Halmashauri ya Mji Makambako laridhia pendekezo la kutwaa ardhi na kuanzishwa shule ya vipaji maalumu ya wasichana na kidato cha tano na sita.

Tarehe iliyowekwa: October 27th, 2022

Na. Lina Sanga

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Makambako  limeridhia pendekezo la kuweka mkakati maalumu wa Halmashauri ya Mji Makambako la kutwaa maeneo makubwa pembezoni mwa Mji ili yatumike kwa shughuli za kiuchumi na kijamii kama vile ujenzi wa shule na miradi mikubwa ya uwekezaji pamoja na  uanzishwaji kwa Shule maalumu ya vipaji ya wanafunzi wa kike na shule ya sekondari ya kidato cha tano na sita  ili kupunguza adha ya wanafunzi kukosa nafasi ya kuendelea na masomo baada ya kufaulu kidato cha nne.

Akiwasilisha pendekezo la Halmashauri kutwaa maeneo katika Mkutano wa baraza la Madiwani lililofanyika leo, Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Mji na Mazingira, Mhe. Alimwimike Sahwi amesema kuwa kamati hiyo imetoa pendekezo hilo ili kupunguza changamoto ya uhaba wa fedha kwa ajili ya kulipa fidia badala yake,Halmashauri itwae maeneo ya watu na kuyapima na kugawana viwanja kwa  utaratibu wa viwanja,asilimia 60 kwa mwenye eneo na asilimia 40 kwa Halmashauri kama gharama ya kufidia upimaji.

Mhe. Sahwi amesema kuwa,kwa utaratibu huo Halmashauri itaweza kuwa na miradi ya viwanja ambavyo inaweza kuuza na kupata fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na  kupata maeneo ya huduma za jamii kama vile ujenzi wa shule, masoko na vituo vya afya.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi,afya na elimu,Mhe. Imani fute amewasilisha pendekezo la kamati hiyo la kuanzishwa kwa shule ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari Maguvani na shule ya vipaji maalumu ya wanafunzi wa kike wenye ufaulu mkubwa katika shule ya sekondari Mlowa kuanzia mwezi januari,2023 kwani shule hizo zina miundombinu inayowezesha uanzishwaji wa shule hizo.



Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa