• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Makambako yaiomba ofisi ya Mkoa kufuta hoja ya CAG.

Tarehe iliyowekwa: June 18th, 2024

Na. Lina Sanga

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Mji Makambako leo limeiomba ofisi ya Mkuu wa Mkoa kutengua kauli ya kuwaruhusu wafanyabiashara wa mazao kufanyia biashara nje ya soko mahususi kwa biashara hiyo,ili kufuta hoja ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) kuhusu utekelezaji wa mradi wa soko hilo.

Wajumbe wa baraza wametoa ombi hilo katika mkutano maalum wa baraza la madiwani la kupitia hoja za mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2022/2023 uliofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Makambako.

Wajumbe wamesema kuwa, kutokana na kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka kuruhusu wafanyabiashara kufanya biashara nje ya soko la mazao Kiumba,huenda limetokana na kutokuwa na taarifa sahihi kutoka kwa baadhi ya wafanyabiashara wachache ambao wanakinzana na maamuzi ya baraza la Madiwani na Mpango wa Halmashauri wa kupanga Mji.

Baraza hilo limeiomba ofisi ya Mkuu wa Mkoa Njombe kupitia upya utekelezaji wa mradi wa soko hilo kwani Halmashauri imewekeza zaidi ya Mil. 300 na wananchi wamekopa ili kujenga maghala na vizimba, kutokutumika kwa soko hilo kumedhoofisha uchumi wa wananchi na Serikali inakosa mapato lakini pia maeneo mengine yameathiriwa kama ukusanyaji wa ushuru wa vibanda kutokana na agizo hilos.

Bw. Willy Undule, mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali Mkoani Njombe ameungana na Madiwani kuiomba ofisi ya Mkuu wa Mkoa Njombe kushughulikia suala la soko la mazao Kiumba kwa busara  ili hoja ifungwe, kwani operesheni za Mji wa Makambako zinategemea ukusanyaji wa ushuru kwenye sehemu za biashara hivyo kuua sehemu hizo Mapato ya Makambako yatazidi kushuka.

Bi. Judica Omari , Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe amesema amepokea maoni na maombi ya baraza la Madiwani na kuahidi kulifanyia kazi ili hoja ya soko hilo na maeneo mengine ifutwe.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa