• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne 2025 watakiwa kuwa watulivu ili wapate madaraja mazuri.

Tarehe iliyowekwa: November 15th, 2025

Na. Lina Sanga

Mkuu wa shule ya sekondari makambako, Mwl. Godfrey Fwilla amewataka wanafunzi wa kidato cha nne 2025 kuwa watulivu wenye kusoma maswali yote na kuchagua maswali wanayoyaweza kabla ya kujibu  ili waweze kupata daraja linalostahili pamoja na kuzingatia sheria za baraza la mitihani.


Mwl. Fwilla ametoa wito huo leo wakati akizungumza na watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne ambayo inaanza rasmi siku ya  jumatatu Novemba 17 hadi Desemba 5,2025.


Ameongeza kuwa, shule ya sekondari Makambako ni shule kongwe katika Halmashauri ya Mji Makambako, hivyo ni matarajio ya wengi kuona shule hiyo inapata daraja la kwanza hadi la tatu kwani kupata ziro ni aibu.


Amewasisitiza watahiniwa hao kutuliza akili  wakati wa kuchagua maswali  kwa kuyasoma kwa umakini ili waweze kupata daraja linalostahili,kwani cheti cha kidato cha nne  ni muhimu sana na ni cheti cha  mwanzo kitakachowawezesha kwenda ngazi mbalimbali.


Naye Mwalimu wa taaluma Mwl. Jisena Daudi amekiri kulidhishwa na maandalizi ambayo walimu wamefanya kuhakikisha wanafunzi hao wanapata ufaulu mzuri utaowawezesha  kuendelea na elimu ya kidato cha tano na kwenda vyuo mbalimbali.


Kefa Lulandala na Silivya Kahonga, kwa niaba ya wanafunzi wengine ambao ni watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne 2025 wamewashukuru walimu kwa  kuwafundisha vizuri na kuwahamasisha hali inayowafanya kujiamini na kukumbushana kumuomba Mungu ili waweze kufanya mitihani yao salama na kupata ufaulu mzuri.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne 2025 watakiwa kuwa watulivu ili wapate madaraja mazuri.

    November 15, 2025
  • Njombe hali ni shwari fanyeni biashara

    November 07, 2025
  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa