• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Baraza la Madiwani Tarehe 6/09/2021

Tarehe iliyowekwa: September 6th, 2021

Pichani ni kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako Appia Mayemba akizungumza na Hadhara katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako na kuhudhuriwa na Madiwani, Taasisi mbalimbali za kiserikali pamoja na wakuu wa Idara na vitengo vyake.

Lengo hasa la kikao hicho ni kujadili maendeleo ya Halmashauri ya Mji wa Makambako katika nyanja mbalimbali hususani sekta ya elimu ,Afya na miundombinu kwa ujumla wake ili kufikia malengo ya kuifanya Halmashauri kuwa mbele katika masuala mazima ya kutoa huduma kwa wananachi. 

Awali Appia amezungumza kuhusu sekta ya elimu katika Halmshauri ya Mji wa Makambako amesema Jumla ya wanafunzi 2891 wanatarajia kujiunga na kidato cha kwanza januari mwakani huku kukiwa na upungufu wa vyumba vya madarasa 28 kwa shule zote za sekondari, mbali na kutaja changamoto hiyo  katika suala zima la kukabiliana nayo  Appia ameshukuru mchango wa Mbunge wa jimbo la Makambako Deo Kasenyenda Sanga kwa mchango wake katika sekta ya elimu kwa jimbo zima la Makambako na kuwaomba Madiwani kuendelea kuhamasisha wananachi kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa huku akifafanua kuwa Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2021/2022 imetenga kiasi cha shilingi Billioni ishirini na tano kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa kwenye shule za sekondari. 

Aidha katika kuchangia maendeleo ya Halmashauri ya Mji wa Makambako diwani wa kata ya kivavi Alimwimike Sahwi amesema ili kuondokana na changamoto za upungufu wa vyumba vya madarasa kila mwaka  ni vema Halmashauri ya Mji Makambako iwe na mpango kazi ambao utaenda kutatua changamoto hiyo kwa wakati muafaka ,hii itaepusha kadhia na usumbufu wa kufikri changamoto ya vyumba vya madarasa kila mwaka. 

Wakati huo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Makambako Hanana Mfikwa amewaomba viongozi wa taasisi mbalimbli kutoa elimu kwa wananchi watambue kuwa kadri wanavyoongezeka ndivyo wanatakiwa kutambua kuwa ni wajibu  wa kuongeza vyumba vya madarasa katika maeneo yao ili kuwasaidia watoto wao sio kuiachia kila kitu serikali itatue.



Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa