• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Waandikishaji wasaidizi na waendesha BVR watakiwa kutekeleza zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa weledi,bidii,kujituma na kutunza viapo vyao.

Tarehe iliyowekwa: January 9th, 2025

Na. Lina Sanga

Rai hiyo imetolewa leo na Afisa Mwandikishaji wa jimbo la Makambako, Bw. Eliud Mwakibombaki  wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wasaidizi na waendesha BVR jimbo la Makambako, na kuwataka kuzingatia mafunzo watakayopewa na kuwasisitiza kufanya kazi kwa weledi ,bidii,kujituma na kutunza viapo vyao ili kufanikisha zoezi hilo la Kitaifa.

Mwakibombaki amesema kuwa, mafunzo hayo yanatolewa ili kuwawezesha waandishi wasaidizi na waendesha BVR kutekeleza majukumu yao katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,ambapo mafunzo hayo yatahusu ujazaji wa fomu,matumizi ya mfumo wa kuandikishia wapiga kura pamoja na matumizi sahihi ya vifaa vya uandikishaji wapiga kura.

Amewataka washiriki wa zoezi hilo ambao wamewahi kushiriki katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Tume ikiwemo ya uboreshaji wa daftari, kutumia uzoefu walionao na mafunzo watakayopata kufanikisha zoezi hilo la Tume Huru ya Uchaguzi, sambamba na kuwasaidia washiriki wengine ambao hawakuwahi kushiriki katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura lililopita.

Pia, amebainisha uwepo wa Mawakala wa vyama vya Siasa kuwepo kwenye vituo vya uandikishaji ili kuleta uwazi wa utekelezaji wa zoezi hilo na kutambua wapiga kura wa eneo husika na sio kuingilia utekelezaji wa majukumu ya maafisa uandikishaji vituoni ili kuepuka kutokea kwa vurugu zisizokuwa za lazima.

Ametoa wito kwa washiriki wote kuhakikisha wanatumia vifaa vyote vitakavyotumika katika uboreshaji na kuzingatia maelekezo yatakayotolewa na Tume, ili waweze kuyafanyia kazi kwa usahihi katika kutekeleza zoezi la uboreshaji wa daftari na kusisitiza ushirikiano kwa watendaji wote wa uboreshaji wa daftari, watendaji  wa Serikali ,vyama vya siasa na wadau wote wa uchaguzi pamoja na watendaji wa Tume ya Uchaguzi.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa