• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

DC NJOMBE: WANAWAKE ACHENI KUKANYAGA MAGAUNI YA WENZENU

Tarehe iliyowekwa: March 17th, 2022

Na. Lina Sanga

Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Njombe,Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani katika Halmashauri ya Mji Makambako  tarehe 8 machi,katika Uwanja wa Polisi Mjini hapa.

Mhe, Kissa alisema kuwa kiuchumi wanawake wana mchango Mkubwa sana,mwanamke ukimpa fedha anakuletea utajiri,lakini kumekuwa na tabia ya wanawake wengine kutofurahia mafanikio ya wengine.na kuweka vikwazo ili kuwakwamisha wanawake wenzao wanapopata mafanikio katika kazi, kwa kukanyaga magauni huku wakiwashangilia ili waendelee kupiga hatua waanguke katika nafasi zao.

“Wanawake wenzangu tuache kukanyaga magauni ya wenzetu ili kuwakwamisha bali tuinuane ili kufikia mafanikio,mwenzako anapopiga hatua ya mafanikio mpongeze na kumuunga mkono,kama hapa kuna wanawake wanauza matunda kila mwanamke anunue matunda kuunga mkono juhudi za wanawake wenzetu wajasiriamali”,alisema Mhe. Kissa.

Katika ngazi ya jamii,Mhe. Kissa alisema kuwa Mwanamke amekuwa nguzo bora katika Malezi kuanzia ngazi ya familia,kwa kuhakikisha familia yake ipo vizuri na kuwafundisha watoto malezi bora lakini pia kuhakikisha usalama wa familia na jamii pamoja na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wa Siasa alisema kuwa,Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefungua kamba na kuvunja mwiko ambao ulikuwa kama fimbo ya kuwachapia wanawake na kuwapa vitisho,juu ya kushika nafasi za juu katika ngazi ya Utawala na Uongozi.

“Mama Samia amefungua kamba na amevunja mwiko kwamba hapa kote piteni lakini pale msipite  maana msitu ule una nyoka wanene mwanamke ukifika utaliwa na nyoka,leo Mama Samia amevunja mwiko,kina mama tumuunge mkono Rais wetu,watu wengine wanaweza wakahoji kwanini mwanamke mwenzetu,naomba niwaambie wanawake wenzangu tusipotumia hii fursa hatutapata nafasi nyingine tena ya sisi kuingia katika nafasi hiyo”,alisema Mhe. Kissa.

Sambamba na Maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Njombe,Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa alimkatia bima ya afya mtoto mwenye ulemavu wa viungo na kuwatua masinia ya matunda wanawake wajasiriamali,waliofika kwenye Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani kwa kununua matunda yote kwa kushirikiana na wakuu wa idara wanawake katika halmashauri ya Mji Makambako,Waheshimiwa Madiwani pamoja na taasisi mbalimbali zilizofika katika Viwanja hivyo.

Mwisho.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa